Tuliwaambia hamna cha kura wala nini, wanajeshi wa Urusi wazingirwa Lyman

Tuliwaambia hamna cha kura wala nini, wanajeshi wa Urusi wazingirwa Lyman

9FBAF09C-B1B3-4FBA-A959-F9278366F182.jpeg
 
Huko urusi vijana wengi kwa sasa wanatumia google ku search namna ya kujivunja mkono ili kukwepa usaili.

Yote kwa yote angekuwepo Trump huyu putin asingethubutu kufanya huu ujinga,
Trump Mandonga, Biden chuma...piga nikupige...Biden mkorofi balaa
 
Anayejua mwendelezo wa habari anazoletaga huyu Mzee wa jua kali atusaidie. Maana kwa nyuzi zake za kila siku humu, Zelesinky anapaswa kuwa yupo Moscow mda huu.
He is a volunteer comical Ally of Ukraine kwakweli[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Kama huwa unapiga kambi kumfuatilia hiyo peke yake inatosha.Go MK254 kuna watu unawapaitia makasiriko ya bila kutarajia.
 
Anayejua mwendelezo wa habari anazoletaga huyu Mzee wa jua kali atusaidie. Maana kwa nyuzi zake za kila siku humu, Zelesinky anapaswa kuwa yupo Moscow mda huu.
He is a volunteer comical Ally of Ukraine kwakweli[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
duh kwamba ukisikia kakijiji unaumia maumiv ya kupoteza majimbo ? Sijawai sikia Ukraine kateka jimbo ila nasikia ukraine imeteka vijiji sijui unajua maana ya vijiji sasa sizan kama ulifundishwa vijiji 10 ndo vinaunda jimbo kubwa kutoka ukraine hadi moscow

Sent from my SM-G6100 using JamiiForums mobile app
 
Hizo sideshows za kura sijui referendum wala nini hatuna muda navyo, ngoma ni ile ile, inaishia Crimea, mlete wanywa gongo watafyekwa tu

KYIV — Less than 24 hours after Russian President Vladimir Putin proudly proclaimed the illegal annexation of Ukraine’s Donetsk region, thousands of his troops now appear to be trapped there.

Ukrainian forces have surrounded Lyman, a key transport hub in Donetsk, Serhiy Cherevaty, a spokesman for Ukraine’s armed forces, told The Washington Post on Saturday.

The counterattack will come as an embarrassment to Moscow, a day after claiming swaths of eastern Ukraine as its own in the face of widespread international condemnation. Ukrainian forces advanced on the city overnight even as Russia put on a grand ceremony and a pop concert in Moscow’s Red Square celebrating the annexation.

Cherevaty said Ukrainian troops had recaptured four villages near Lyman in addition to encircling the city, which is a key supply hub on the western edge of Ukraine’s Donbas region. A pro-Kremlin separatist leader in eastern Ukraine had acknowledged Friday that the city was “semi-encircled,” describing Kyiv’s advances as “very unpleasant news” that threatened to “overshadow” the annexation celebrations.

MSN
Matango pori yakokula mwenyewe

Oct 1 (Reuters) – Russia said on Saturday its troops had withdrawn from the town of Lyman in eastern Ukraine to avoid being surrounded by Ukraine’s army.

“In connection with the creation of a threat of encirclement, allied troops were withdrawn from the settlement of Krasny Liman to more advantageous lines,” the defence ministry said, using the Russian name of the town.

Ukraine’s capture of Lyman, which has served for months as a logistics and transport hub for Russian operations, marked a major defeat for Moscow, a day after President Vladimir Putin proclaimed the annexation of four…

Continue Reading


News Source: Kadyrov says Russia should use low-yield nuclear weapon
 
Huyu jamaa kwa kujifariji tu. Kila siku ni story za Wanajeshi wa UKRAINE wanaua wanajeshi wa URUSI. Ila kwa ground, watu wanaomba kujiunga na NATO ili wasaidiwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe umetulia zako na ng'ombe wenzako hapo NAROK lkn unajua habari za UKRAINE.
For the record tu ni kuwa wanasaidiwa .. wamesaidiwa kabla hata ya kujiunga NATO.

Kuomba kujiunga ni in response ya referendum ya kuchukuliwa kwa ardhi yao. But also means hamna tena kukaa mezani... muda wa kuongea umesha kila mtu achukue hamsini zake
 
Matango pori yakokula mwenyewe

Oct 1 (Reuters) – Russia said on Saturday its troops had withdrawn from the town of Lyman in eastern Ukraine to avoid being surrounded by Ukraine’s army.

“In connection with the creation of a threat of encirclement, allied troops were withdrawn from the settlement of Krasny Liman to more advantageous lines,” the defence ministry said, using the Russian name of the town.

Ukraine’s capture of Lyman, which has served for months as a logistics and transport hub for Russian operations, marked a major defeat for Moscow, a day after President Vladimir Putin proclaimed the annexation of four…

Continue Reading


News Source: Kadyrov says Russia should use low-yield nuclear weapon
Walikuwa na mpango huo kabla ya kuzungukwa?
 
Back
Top Bottom