ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Walitegemea sana yanga ingedondosha point kwa Coastal union.
Police Tanzania, Mbeya city, Azam fc na tegemeo la mwisho likabakia Manungu stadium lakini tumeshuhudia wananchi wakiondoka kifua mbele kwa ushindi mzuri usio na madoa wa 2-0...hapo manungu kuna watu walitolewa kamasi na kutoka na point moja wakajua na leo mambo yangekua yale yale.
Wakasubiri saana wiki,siku,saa na hatimaye muda ukafika... lakini baada ya dk 90 imedhihirika sasa rasmi sasa kuwa Yanga hii ni bora kuliko wao kwa gape kubwa tu.
Wape salaam.
Police Tanzania, Mbeya city, Azam fc na tegemeo la mwisho likabakia Manungu stadium lakini tumeshuhudia wananchi wakiondoka kifua mbele kwa ushindi mzuri usio na madoa wa 2-0...hapo manungu kuna watu walitolewa kamasi na kutoka na point moja wakajua na leo mambo yangekua yale yale.
Wakasubiri saana wiki,siku,saa na hatimaye muda ukafika... lakini baada ya dk 90 imedhihirika sasa rasmi sasa kuwa Yanga hii ni bora kuliko wao kwa gape kubwa tu.
Wape salaam.