Tuliwaambia/Tunawaambia tena! Uongozi ni kipawa, Hayati Magufuli bado ni shujaa na atakuwa shujaa tuu!

Tuliwaambia/Tunawaambia tena! Uongozi ni kipawa, Hayati Magufuli bado ni shujaa na atakuwa shujaa tuu!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
 
Mzimu wa JPM unatutesa sanaa.
Maana mzee alikuwa anajua Takwimu za kila kitu mpaka na Mifugo.

Ila sasa hata kujua mapato ya TRA kwa mwezi hakuna.

Hatakujua tuu kule migodini mapato yake hakuna.

Hata kule Bandari kujua madudu hakuna.

Sasa kila mtu anakula na kusepa.
Maana hakuna anae jua kitu chochote
 
Mzimu wa JPM unatutesa sanaa.
Maana mzee alikuwa anajua Takwimu za kila kitu mpaka na Mifugo.

Ila sasa hata kujua mapato ya TRA kwa mwezi hakuna.

Hatakujua tuu kule migodini mapato yake hakuna.

Hata kule Bandari kujua madudu hakuna.

Sasa kila mtu anakula na kusepa.
Maana hakuna anae jua kitu chochote

TRA hali mbaya sana mkuu kadri siku zinavyokwenda na mapato yanazidi kushuka.
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2021 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufitiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzslisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafante, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kazi na ukabaji vichochoroni!
Muite aendelee kuongoza shujaa wako,
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2021 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufitiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzslisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafante, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kazi na ukabaji vichochoroni!

Kipawa cha wizi wa kura labda.
 
Umezoeleka sana kaka Kwa hoja zako hizi za kila siku!

Wenye uwezo wa kufikiri, huwa hatuwazii tena yaliyotokea nyuma, Ila tunawaza namna bor ya kukabiliana nayo tena huko tuendako
Hatutaki mashujaa wanao ua. kuteka, kupiga risasi na kubambikia kesi watu wasio wapenda/wapinzani wao
mashujaa wanao nunua wawakilishi wa wananchi na kurudia tena chaguzi kwa gharama za kodi zetu hatuwataki.
mashujaa wanao tudanganya kwamba hakuna korona huku tukishuhudia rafiki, ndugu, majirani na jamaa zetu wanakufa hatuwataki sisi
Hatuna shida ya mashujaa wanaoziba watu midomo kwa hila na ghiriba
Aliyekerwa na kifo kile akamfufue azikwe yeye
 
images (50).jpeg
 
Kwa nini tulifikia uchumi wa kati mdogo Kabla ya lengo halisi la serikali?

Malengo ya Serikali yake wakati wa uhai wake, ilikuwa tufikie uchumi wa kati 2022, lakini cha ajabu, Taifa lilifikia uchumi wa kati 2020 mapema kabisa, mbali na Dunia kuwa kwenye msukosuko wa Covd, lakini hakikuharibika kitu

Sera moja wapo ambayo nimeendelea kuikubali, ni Sera nzuri ya kuhakikisha kila mtanzania anakuwa mzalishaji!

Mfano,

Wamachinga kuendelea kufanya Kazi zao bila bughuza yoyote, hii inalifanya taifa kuwa na watu wenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na kipato chao wenyewe na kumiliki uchumi wao,

Wachimbaji wadogowago kufanya Kazi zao za uchimbaji bila kubughudhiwa, hii pia inaangukia kwenye umilki wa uchumi wa mtu mmojammoja, tofauti na kuwa na watu wachache wanaomiliki uchumi na watu wengi kutegemea kuajiriwa

Wakulima pia kupewa motisha, mfano, kufutiwa ushuru mbambali wa mazao zisizo na maana kwao hata Kwa serikali, hii inawafanya wao wakulima kuendelea kuzalisha mazao Kwa wingi!

Umetimua wamachinga na mama Ntilie, unategemea kuona uchumi wa mtu mmojammoja ukiimarika kweli?.. Kuwatengenezea mazingira bora wamachinga ni suala zuri, lakini kitendo cha kuwatimua Kabla ya kuwandalia mazingira bora ya kufanyia biashara zao, ni kuuwa uchumi wao!

Badala yake, vijana wengi wamerudi mitaani na wasijue kazi ipi wafanye, matokeo yake tunaona kundi kubwa la panya load likiongezeka Kwa Kasi na ukabaji vichochoroni!

Tengeneza Sera bora za kila mtu awe mzalishaji na sio tegemezi,
TOKA LINI DIKTETA AKAWA KIONGOZI?
 
Hatutaki mashujaa wanao ua. kuteka, kupiga risasi na kubambikia kesi watu wasio wapenda/wapinzani wao
mashujaa wanao nunua wawakilishi wa wananchi na kurudia tena chaguzi kwa gharama za kodi zetu hatuwataki.
mashujaa wanao tudanganya kwamba hakuna korona huku tukishuhudia rafiki, ndugu, majirani na jamaa zetu wanakufa hatuwataki sisi
Hatuna shida ya mashujaa wanaoziba watu midomo kwa hila na ghiriba
Aliyekerwa na kifo kile akamfufue azikwe yeye
Unadhani ukiwa na mtoto asiyeenda kama unavyotaka wewe, utakosa la kujifunza kwake hata moja!
 
Back
Top Bottom