Na bado atalegea mpaka aachie nchi.Magufuli ni mwepesi mno ndiyo maana AMELEGEA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bado atalegea mpaka aachie nchi.Magufuli ni mwepesi mno ndiyo maana AMELEGEA
Let him rest in hellRot In Pieces RPC Shana
Walimwingiza chaka na kwa kuwa nae anapenda sifa akapanua bichwa.Waliokuwa wakimuanisha Pombe kwamba yeye ni kama Masiya kwa Watanzania, ingekuwa kule Korea Kaskazini kwa kiduku, wangekuwa kwenye mstari wa kunyongwa. Si kwa kumdanganya mzee hivi!!@@#$?;"/#_^*9&$×/#!'hokyfserdafvx%*%'rh
RPC Shana angekuwa first kupigwa kitanzi. Heri kajiwahi. Alale kwenye moto mkali
Hii katiba uliyo nayo hata hujawahi kuisoma, afu unataka katiba mpya, acheni kushikiwa akili!Kinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Katiba ya sasa inainufaisha ccm na sio nchi yetu....tume imeengua wagombea ubunge wa kule kilombero, mlimba kwa sababu tu ccm kwenye sanduku kule haina ubavuKinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Mnakari sana masaa kumbe siku zina badilika!!Subiri tar 28 ndo uje ukomenti hapa! Haya mnayoita mafuriko ni marudio tu, tulisha yashuhudia kwa Mrema, Slaa, funga kazi Edo, hadi tulideki barabara! Yaani lisu hapatati hata 10% ya kura! Msije mkaanza kulia lia bure!
Mambo mengi sana yanawapa upinzani credit historia ya Lissu inamtetea sana kwenye kampeni zake. Alipigwa Risasi kwa kutetea wananchi. Huyu si wa kupuuzwaKinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Hahaha kibao kimegeukaWale waliomwambie magu upinzani umekufa ndio hao hao leo wanampelekea clip za lisu ili apate huko Cha kuongea kwenye kampeni yaan wameshindwa ata Cha kumshauri.
Katiba sio lazima tuisome. Sisi sio wanasheria tunaangalia mambo muhimu yanayotugisa mengine tunawachia wataala ndio maana mwnafunzi wa Sheria UDSM ana Module nzima inahusu katiba na anafanya mtihani uliosheheni taarifa na maarifa mbali mbali.Hii katiba uliyo nayo hata hujawahi kuisoma, afu unataka katiba mpya, acheni kushikiwa akili!
Hahhaa VAT hawezi kuifuta anaweza kushusha maana hata hizo kodi zenyewe haziendi serikalini na zikienda haifanyia kazi iliyokusudiwa.Yeah!! nasikia Lissu atashusha VAT au kuifuta kabisa
Tutamanipulate kwa tume hiyo hiyo. Labda tusishinde.Anachojivunia jiwe ni tume, nje ya hapo mwaka huu asingetoboa
Aifanye asilimia 3%Hahhaa VAT hawezi kuifuta anaweza kushusha maana hata hizo kodi zenyewe haziendi serikalini na zikienda haifanyia kazi iliyokusudiwa.
Hii ya leo ni Home work ndo maana amerudi Dodoma.Haamini anachokiona!! Leo amepewa tena assignment kama kweli hivyo vitambulisho vya machinga sio vya lazima, basi aifute sheria iliyovianzisha ya waziri wa fedha!!! Sasa atajibu mangapi??