Uchaguzi 2020 Tuliwaambia upinzani ni imani, mkabisha. Kiko wapi?

Uchaguzi 2020 Tuliwaambia upinzani ni imani, mkabisha. Kiko wapi?

Waliokuwa wakimuanisha Pombe kwamba yeye ni kama Masiya kwa Watanzania, ingekuwa kule Korea Kaskazini kwa kiduku, wangekuwa kwenye mstari wa kunyongwa. Si kwa kumdanganya mzee hivi!!@@#$?;"/#_^*9&$×/#!'hokyfserdafvx%*%'rh

RPC Shana angekuwa first kupigwa kitanzi. Heri kajiwahi. Alale kwenye moto mkali
Walimwingiza chaka na kwa kuwa nae anapenda sifa akapanua bichwa.
 
Kinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
 
Subiri tar 28 ndo uje ukomenti hapa! Haya mnayoita mafuriko ni marudio tu, tulisha yashuhudia kwa Mrema, Slaa, funga kazi Edo, hadi tulideki barabara! Yaani lisu hapatati hata 10% ya kura! Msije mkaanza kulia lia bure!
 
Kinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Hii katiba uliyo nayo hata hujawahi kuisoma, afu unataka katiba mpya, acheni kushikiwa akili!
 
Kinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Katiba ya sasa inainufaisha ccm na sio nchi yetu....tume imeengua wagombea ubunge wa kule kilombero, mlimba kwa sababu tu ccm kwenye sanduku kule haina ubavu
 
Subiri tar 28 ndo uje ukomenti hapa! Haya mnayoita mafuriko ni marudio tu, tulisha yashuhudia kwa Mrema, Slaa, funga kazi Edo, hadi tulideki barabara! Yaani lisu hapatati hata 10% ya kura! Msije mkaanza kulia lia bure!
Mnakari sana masaa kumbe siku zina badilika!!
Nina ombi moja kwa jiwe apige marufuku tusitumie majina bandia huku ndani ya mwaka mmoja tu heshimiana na akili zitawarudi!
Maana me nina uhakika nita nyonga watu wa aina yako kama 1000 hivi
 
Kinachowapa vyama vya upinzani nguvu kutoka kwa umma ni katiba mpya, asilimia kubwa ya watu wanatamani kupata katiba mpya hata wazee wasomi wa CCM ndo wanachotaka ili kuwaacha vizazi vyao katika mifumo iliyojengwa kwa msingi imara, Sasa hivi hata akisimama kikwete Kama haongelei katiba mpya hata ya marehemu Sita ipigiwe kura bado ataoneka Hana Mapenzi na nchi yake bali chama, na hata mzee yeyote wa CCM asiposema katiba mpya hakuna anayempa credit, Sasa sielewi CCM tunakwama wapi? Mpaka tunahangaika kutafuta ushindi kwa nguvu kubwa wakati vitu vitamu vinavyohitajika tunavikalia kimya.
Mambo mengi sana yanawapa upinzani credit historia ya Lissu inamtetea sana kwenye kampeni zake. Alipigwa Risasi kwa kutetea wananchi. Huyu si wa kupuuzwa
 
Hii katiba uliyo nayo hata hujawahi kuisoma, afu unataka katiba mpya, acheni kushikiwa akili!
Katiba sio lazima tuisome. Sisi sio wanasheria tunaangalia mambo muhimu yanayotugisa mengine tunawachia wataala ndio maana mwnafunzi wa Sheria UDSM ana Module nzima inahusu katiba na anafanya mtihani uliosheheni taarifa na maarifa mbali mbali.

Kitendo cha rais kujiamria kila jambo hata kama haliko sawa kwa maslahi ya taifa hakihitaji mtu kusoma katiba nzima.
 
Back
Top Bottom