Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Niliwahi kuandika hapa jamvini kuwa kulikua na uhaba wa kondomu nchini, na kwamba Hali Ile isingedhibitiwa athari zake zingekuja kuonekana baadae.
Juzi Ummy ametoa taarifa kuwa Kuna ongezeko la Maambukizi ya UKIMWI nchini, Yale tuliyoyaongea tukasimangwa ndio Leo hii yanajitokeza. Awamu ile ilikua ngumu sana kusikiliza, matumizi ya kondomu yalionekana kama dhambi, Leo hi kuna mamilioni ya watu wako kwenye ARVS.
TUJIFUNZE KUSIKILIZA, VINGINEVYO MTAKUA KAMA MACKENZIE NA KIBWETERE
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Juzi Ummy ametoa taarifa kuwa Kuna ongezeko la Maambukizi ya UKIMWI nchini, Yale tuliyoyaongea tukasimangwa ndio Leo hii yanajitokeza. Awamu ile ilikua ngumu sana kusikiliza, matumizi ya kondomu yalionekana kama dhambi, Leo hi kuna mamilioni ya watu wako kwenye ARVS.
TUJIFUNZE KUSIKILIZA, VINGINEVYO MTAKUA KAMA MACKENZIE NA KIBWETERE
Kuna uhaba mkubwa wa kondomu kwa baadhi ya mikoa
Baada ya kupita mikoa kadhaa kwa kipindi cha hivi karibuni, nimegundua kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa kondom kwenye baadhi ya Wilaya nchini. Nimefika sehemu husika na kila nilipouliza niliambiwa kuwa zimekwisha. Nilijaribu kuongea na Wadau wa kondomu hizo kwa maana ya Watumiaji na walikiri...
Nahisi kuna uhaba wa condom, itatuathiri
Kwa mwezi wa pili sasa ninahangaika kupata Condom. Nilizoea kuzipata duka la jirani na pharmacy za jirani. Ghafla zikaaza kutoonekana jirani. Nikadhani ni uzembe wa maduka ya jirani nikaja kugundua tatizo limeenea eneo lote na kikweli maeneo mengi ya D'Salaam maduka hayana condom. Sijajua...
Waziri Ummy " Vijana Tumieni Kinga,Maambukizi Yameongezeka"
Tunawakumbusha tuu Hali ya magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi ni mbaya.. Vaeni condom