zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Ushawahi kuingiziwa ukaisikia harufu yake ?Hayo ya bure nasikia yako na harufu mbaya š«£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kuingiziwa ukaisikia harufu yake ?Hayo ya bure nasikia yako na harufu mbaya š«£
Unapigiaje NYETO condom ?Ya kupigia nyeto
Wewe umeacha ndugu yangu?Kwan si muache zinaa kondom za nini sasa
Niliwahi kuandika hapa jamvini kuwa kulikua na uhaba wa kondomu nchini, na kwamba Hali Ile isingedhibitiwa athari zake zingekuja kuonekana baadae.
Juzi Ummy ametoa taarifa kuwa Kuna ongezeko la Maambukizi ya UKIMWI nchini, Yale tuliyoyaongea tukasimangwa ndio Leo hii yanajitokeza. Awamu ile ilikua ngumu sana kusikiliza, matumizi ya kondomu yalionekana kama dhambi, Leo hi kuna mamilioni ya watu wako kwenye ARVS.
TUJIFUNZE KUSIKILIZA, VINGINEVYO MTAKUA KAMA MACKENZIE NA KIBWETERE
Kuna uhaba mkubwa wa kondomu kwa baadhi ya mikoa
Baada ya kupita mikoa kadhaa kwa kipindi cha hivi karibuni, nimegundua kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa kondom kwenye baadhi ya Wilaya nchini. Nimefika sehemu husika na kila nilipouliza niliambiwa kuwa zimekwisha. Nilijaribu kuongea na Wadau wa kondomu hizo kwa maana ya Watumiaji na walikiri...www.jamiiforums.com
ukimwi utatumalizaNiliwahi kuandika hapa jamvini kuwa kulikua na uhaba wa kondomu nchini, na kwamba Hali Ile isingedhibitiwa athari zake zingekuja kuonekana baadae.
Juzi Ummy ametoa taarifa kuwa Kuna ongezeko la Maambukizi ya UKIMWI nchini, Yale tuliyoyaongea tukasimangwa ndio Leo hii yanajitokeza. Awamu ile ilikua ngumu sana kusikiliza, matumizi ya kondomu yalionekana kama dhambi, Leo hi kuna mamilioni ya watu wako kwenye ARVS.
TUJIFUNZE KUSIKILIZA, VINGINEVYO MTAKUA KAMA MACKENZIE NA KIBWETERE
Kuna uhaba mkubwa wa kondomu kwa baadhi ya mikoa
Baada ya kupita mikoa kadhaa kwa kipindi cha hivi karibuni, nimegundua kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa kondom kwenye baadhi ya Wilaya nchini. Nimefika sehemu husika na kila nilipouliza niliambiwa kuwa zimekwisha. Nilijaribu kuongea na Wadau wa kondomu hizo kwa maana ya Watumiaji na walikiri...www.jamiiforums.com
Nahisi kuna uhaba wa condom, itatuathiri
Kwa mwezi wa pili sasa ninahangaika kupata Condom. Nilizoea kuzipata duka la jirani na pharmacy za jirani. Ghafla zikaaza kutoonekana jirani. Nikadhani ni uzembe wa maduka ya jirani nikaja kugundua tatizo limeenea eneo lote na kikweli maeneo mengi ya D'Salaam maduka hayana condom. Sijajua...www.jamiiforums.com
Waziri Ummy " Vijana Tumieni Kinga,Maambukizi Yameongezeka"
Tunawakumbusha tuu Hali ya magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi ni mbaya.. Vaeni condomwww.jamiiforums.com
Ushawahi kuingiziwa ukaisikia harufu yake ?
Kumbe ndio yaleYamejaa Hosp mapokezi
Ukifika waweza kumbana na kismell
Wameisha zoeana chuma kwa chumaWatumiaji wenyewe siku hizi hawapo. Duka la Dawa unaweka condom kibao lakini zinakaa hadi miezi 7 hakuna aliyenunua hata moja
Malaya anacho hitaji pesa tu kondomu sio malengoHakuna uhaba watu wanaenda kavu wanajilipua tu mfano kule telegram zile video clip watu wanakula kavu nyuma mbele wanakula malaya kavu kabisaaaaa
Kwanini nisiache sasaWewe umeacha ndugu yangu?
Hongera sanaKwanini nisiache sasa