Uchaguzi 2020 Tuliwaonya CHADEMA mkimsimamisha Lissu ndio mtafutika rasmi Tanzania

Uchaguzi 2020 Tuliwaonya CHADEMA mkimsimamisha Lissu ndio mtafutika rasmi Tanzania

Bia yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
6,921
Reaction score
8,321
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

Mwisho wa Chadema ni October 28
 
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

CHADEMA wameumua kubusu mkuki ... kwa kuweka pandikizi la Wazungu ligombee urais

Mwisho wa Chadema ni October 28
angalia hawa loud supporters wa Tundu Lissu




halafu check hawa silent supporters wa Tundu Lissu waliomo ndani ya CCM.... tupo kibao kwa taarifa yako!

 
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

CHADEMA wameumua kubusu mkuki ... kwa kuweka pandikizi la Wazungu ligombee urais

Mwisho wa Chadema ni October 28
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bia yangu ulipotelea wp mkuu?? Upepo wa lissu hadi pole pole kawa bariiiiiiiidi .. mgonjwa mtambuka naye kawa bariiiiiiiidi ...mama ntilie wa kawe naye kawa bariiiiiiiidi ....Ni yeye lissu mliyesema hawezi kurudi Sasa katimba rasmi...mna semajeeeeeeeee??????? Kaja hajajaaaaa??? Kama namuona Ndugai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-1658489397.jpg
 
Hiyo oct hakuna kura za huruma, ni kuchapa kama tunachapa mtu mzima kumbe................!!

AMELIFATA MWENYEWE ACHA LIMPATE
 
angalia hawa loud supporters wa Tundu Lissu




halafu check hawa silent supporters wa Tundu Lissu waliomo ndani ya CCM.... tupo kibao kwa taarifa yako!


CCM mwaka huu watajua kuwa hawajui. Go Lissu gooooooo
 
Dogo huu upepo wa kisulisuli hauzuiliki m
Mataga wote wamesanda game
 
Kiongozi ulipotea muda jamvini. Karibu sana,Hopefully all is well
 
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

Mwisho wa Chadema ni October 28
Bia Yetu karibu bhana.
 
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

Mwisho wa Chadema ni October 28
Utapasuka kifua mkuu mbona mlisema mwisho wa cdm 2016?
 
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

Mwisho wa Chadema ni October 28
Yan mtu alie kua anatetea wez wa Mali zetu ndio tumpe nchi si itakua ujinga wa kiwango cha lami
 
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa

Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania

Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi

Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi

Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja

Mwisho wa Chadema ni October 28
Hao unaowazungumzia kuwa watatoa madaraka kwa chauma badala ya CHADEMA ni kina nani hao?

We sema mume panic! Hamkutegemea huyu jamaa atakuwa hai, na mnafahamu uchaguzi ukiwa huru na haki, ndo kifo chenu, kwahiyo lazima mupigane kufa na kupona!

Tuone kama nchini hii haijaingia kwenye machafuko! Na hii thread ninai subscribe kabisaa!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bia yangu ulipotelea wp mkuu?? Upepo wa lissu hadi pole pole kawa bariiiiiiiidi .. mgonjwa mtambuka naye kawa bariiiiiiiidi ...mama ntilie wa kawe naye kawa bariiiiiiiidi ....Ni yeye lissu mliyesema hawezi kurudi Sasa katimba rasmi...mna semajeeeeeeeee??????? Kaja hajajaaaaa??? Kama namuona Ndugai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1534460

Naombe Wakati chadema inazamishwa baharini msikimbie ili jukwaa
 
vyombo vya habari ni bure kabisa hii nchi.
 
Back
Top Bottom