Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa
Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania
Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi
Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi
Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja
Mwisho wa Chadema ni October 28
Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania
Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi
Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi
Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja
Mwisho wa Chadema ni October 28