obadia98
Member
- Jun 26, 2020
- 60
- 86
Pole sanaHivi lini mropokaji lissu akawa na busara
Ukimsiliza lissu 98% anaongea ujinga na dhihaka,busara ni 0%
Mwambieni kwanza ajifunze busara huyo jamaa enu anayeropoka ropoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sanaHivi lini mropokaji lissu akawa na busara
Ukimsiliza lissu 98% anaongea ujinga na dhihaka,busara ni 0%
Mwambieni kwanza ajifunze busara huyo jamaa enu anayeropoka ropoka
Na ndo hoja zenu zilipoishia kwa hz katuni ..lete lete na nyingine[emoji23][emoji1787][emoji2960]View attachment 1534492
kumbe ubunge unatolewa kama zawadi mimi nilifikiri wananchi ndio wanachaguwa viongozi wanao wataka? au ni kweli watu wa ccm wanaupungufu wa akili ya kufikiri? sasa kwa taarifa yako magufuli ajiandae tu kuchuga wanya na pale chato airport. uraisi ndio basi eidha kwa kukubali matokeo au ataondoka kwa nguvu ya uma. ubaya ubaya mwaka huu.Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa
Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania
Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi
Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi
Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja
Mwisho wa Chadema ni October 28
Yan mtu alie kua anatetea wez wa Mali zetu ndio tumpe nchi si itakua ujinga wa kiwango cha lami
Du! Mkuu hizi picha zingine huwa mnazipataje? Uko vizuri!Yaani hawa wakuna nazi ndio wamshinde lissu kweli!?View attachment 1534458
Ghafla upepo umebadilika. Kinakuja kisulisuli cha Lissu!I like what i see, Tundu Lissu ni game changer, amekuja kubadilisha the whole dynamic ya Tanzania politics. Kikubwa zaid kwa hoja zake nzito chama tawala na wafuasi wake wamejikuta wakikaa kwenye defensive mode. Huyu ndo aina ya mpinzani anayehitajika kwenye mazingira ya sasa.
Lisu alitetea lini?Yan mtu alie kua anatetea wez wa Mali zetu ndio tumpe nchi si itakua ujinga wa kiwango cha lami
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa
Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania
Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi
Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi
Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja
Mwisho wa Chadema ni October 28
Mtoa mada wewe!! mchangiaji wewe !! Kwa nn uditulie tu kuficha ujinga wako?!Hii Nchi ilijengwa na wazee wetu kwa jasho na damu, Chadema wameamua kuishi nje ya maadili ya kitanzania sasa baada ya October mtajutia maamuzi yenu
Watanzania Poleni kwa msiba mkubwa wa Baba yetu Ben Mkapa
Chama na Taifa tumepata pigo kubwa hakika ni mwaka mgumu kwetu Watanzania
Mwenyezi Mungu atupe subra pole nyingi ziende kwa Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania machozi yako pale uwanja wa uhuru yalituumiza Watanzania wengi
...
Back to the topic
Kwa Kuwa Chadema hawakusikiliza ushauri wetu basi watajuta milele kuanzia huu mwaka wa 2020
Tuliwapa ushauri kuwa kumsimamisha lissu kugombea Urais ni kujitengenezea kaburi la kisiasa
Zimebaki siku 75 Chadema kuwa hai kwa kuwa mzigo wao waliousimamisha unaotembea kama bata upo kwenye black list kila mahali
Kuanzia kwenye taasisi rasmi na zisizo rasmi
Ilishaamuliwa hawezi tena kuwa hata diwani wa Nchi hii,hawezi tena kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi
Na ataiua Chadema Kwasababu hawatapewa mbunge hata mmoja ni mara miamoja chauma iwe na wabunge watatu kuliko Chadema kuwa na mbunge mmoja
Mwisho wa Chadema ni October 28
angalia hawa loud supporters wa Tundu Lissu
halafu check hawa silent supporters wa Tundu Lissu waliomo ndani ya CCM.... tupo kibao kwa taarifa yako!
Kwa hiyo ulitaka wamuweke Mhe Membe? Tindu kaweka uhai katika chama kikuu cha upinzani. Ila Maalim katoka kwenye jivu katumbukia penye moto kwani sikubaliani na sera za ACT-Wazalendo. Ila kwa Urais wasahau kabisa.