Tuliwaonya kuhusu LBL mkashupaza vichwa, sasa mnaisoma namba!

Tuliwaonya kuhusu LBL mkashupaza vichwa, sasa mnaisoma namba!

Kuna kanisa la kilokole walitembelewa na mchungaji mpya, huyo mchungaji akawaambia kuhusu LBL
Waumini na mchungaji wao wakajiunga wengine kwa pesa za kukopa.

Sasa wao hawajawahi kutoa faida LBL walishauriana waziache ziwe nyingi, wakija kutoa watoe mamilioni ya pesa.

Sasa hivi ni kilio tu kanisani baada ya kutapeliwa.
😃😂😂😂😂😂 Kwa hali hii naanza kuhisi dalili za uwepo wa msiba wa kitaifa
 
Kuna kanisa la kilokole walitembelewa na mchungaji mpya, huyo mchungaji akawaambia kuhusu LBL
Waumini na mchungaji wao wakajiunga wengine kwa pesa za kukopa.

Sasa wao hawajawahi kutoa faida LBL walishauriana waziache ziwe nyingi, wakija kutoa watoe mamilioni ya pesa.

Sasa hivi ni kilio tu kanisani baada ya kutapeliwa.
Ndio lile kanisa la buza au?
 
Kuna kanisa la kilokole walitembelewa na mchungaji mpya, huyo mchungaji akawaambia kuhusu LBL
Waumini na mchungaji wao wakajiunga wengine kwa pesa za kukopa.

Sasa wao hawajawahi kutoa faida LBL walishauriana waziache ziwe nyingi, wakija kutoa watoe mamilioni ya pesa.

Sasa hivi ni kilio tu kanisani baada ya kutapeliwa.
Kama hii taarifa ni ya kweli! Basi ni aibu sana, huyo Mchungaji ana Elimu ya level Gani?

Ni kanisa Gani Hilo? Ni wapi nikawapige makofi
 
Wajinga wapigwe tu.
Wajinga wanapigwa kwenye pyramid schemes
Tusio wajinga tunapigwa kwenye betting, bima n.k.
Ni mwendo wa kupigwa tu.
Nyie wa betting dawa yenu inachemka, itawaingia pole pole, mkija kushtuka miaka 10 baadaye, mtakua mmebaki na suruali mlizovaa tu.
giphy.gif
 
Kuna kanisa la kilokole walitembelewa na mchungaji mpya, huyo mchungaji akawaambia kuhusu LBL
Waumini na mchungaji wao wakajiunga wengine kwa pesa za kukopa.

Sasa wao hawajawahi kutoa faida LBL walishauriana waziache ziwe nyingi, wakija kutoa watoe mamilioni ya pesa.

Sasa hivi ni kilio tu kanisani baada ya kutapeliwa.
Kwanza najiuliza wangezitoaje wakati maximum ni 500k per week. Sasa mtu ana milioni 13 unaitoaje
 
Sometimes kutokuingia mtandaoni inasaidia hii LBL ndo naisikia Leo, by the way huo ujinga wa Nini Scheme sijawahi kufanya, Wala sijawahi kuulewa, wasingenipata
 
Kumekuchaaaa!! Vilio ni vingi mtaani. Lol
Polee zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbuka ulikua ukiwaeleza jamani ni utapeli huoo khaaaah wanakua wakali haooo alafu watu wa Lbl nchi nzima wana majibu yanafanana nahisi pia walikua wanakaririshwa

Utasikia " hela yangu isharudi nakula faida"🤣🤣🤣 we kila mtu eti kala faida nashangaa sasa hivi vilio vinatoka wapi au wameliwa faida na wao
 
Kipindi nawaelekeza watu kuwa LBL ni matapeli mlinitukana sana watu wa LBL sasa ngoja zamu yangu imefika malofa wakubwa nyie mnatumia mataqor kufikiri subirini nitoke kuuza ice cream zangu za Bakhresa matusi yooote mtayalipa leo kenge wakubwa nyie
 
Kuna kanisa la kilokole walitembelewa na mchungaji mpya, huyo mchungaji akawaambia kuhusu LBL
Waumini na mchungaji wao wakajiunga wengine kwa pesa za kukopa.

Sasa wao hawajawahi kutoa faida LBL walishauriana waziache ziwe nyingi, wakija kutoa watoe mamilioni ya pesa.

Sasa hivi ni kilio tu kanisani baada ya kutapeliwa.
Screenshot_2025-02-23-23-30-46-25.png
 
Wajinga wapigwe tu.
Wajinga wanapigwa kwenye pyramid schemes
Tusio wajinga tunapigwa kwenye betting, bima n.k.
Ni mwendo wa kupigwa tu.
Nimesoma BIMA na hapo inakuaje au ndo ile unatibiwa kwa tareh flan mpaka flani alafu husipopona ndo imeisha hiyo utajua mwenyewe?
 
Sometimes kutokuingia mtandaoni inasaidia hii LBL ndo naisikia Leo, by the way huo ujinga wa Nini Scheme sijawahi kufanya, Wala sijawahi kuulewa, wasingenipata
Kweli kabisa kuna watu aliingia kupitia Facebook, ila mimi pia nimeisikia mara ya kwanza huko duniani kwa mtu ambaye alikua ameshajiunga.
 
Back
Top Bottom