Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #41
π€£ π€£ π€£Kipindi nawaelekeza watu kuwa LBL ni matapeli mlinitukana sana watu wa LBL sasa ngoja zamu yangu umefika malofa wakubwa nyie mnatumia mataqor kufikiri subirini nitoke kuuza ice cream zangu za Bakhera matusi yooote mtayalipa leo kenge wakubwa nyie
Kuna kanisa la kilokole walitembelewa na mchungaji mpya, huyo mchungaji akawaambia kuhusu LBL
Waumini na mchungaji wao wakajiunga wengine kwa pesa za kukopa.
Sasa wao hawajawahi kutoa faida LBL walishauriana waziache ziwe nyingi, wakija kutoa watoe mamilioni ya pesa.
Sasa hivi ni kilio tu kanisani baada ya kutapeliwa.
Kuna wanaolia kimya kimyaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona watu wanaonizunguka siwasikii au ndo wanalia kama Mamba mu mayi
Kunae shost akataka kuniingiza huo mkenge, nkamsikiliza wee, baadae nkamuambia, sina huo ujinga wa kutapeliwa kizembeNakumbuka ulikua ukiwaeleza jamani ni utapeli huoo khaaaah wanakua wakali haooo alafu watu wa Lbl nchi nzima wana majibu yanafanana nahisi pia walikua wanakaririshwa
Utasikia " hela yangu isharudi nakula faida"[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we kila mtu eti kala faida nashangaa sasa hivi vilio vinatoka wapi au wameliwa faida na wao
Miaka ile ya deci tu watu walilia kuna wengine kdg wajirushe kutoka gorofa pale ofisi zao mwanamboka kino..ilikuwa mshkmshk jazz band,ile pesa waliyoikamata serikali kwani ilirudi πKwa kweli, na hawataki kusikia wala kuelewa. Afu utakuta na bado wengine wanapigwaa. Lol
Na wanapigwa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miaka ile ya deci tu watu walilia kuna wengine kdg wajirushe kutoka gorofa pale ofisi zao mwanamboka kino..ilikuwa mshkmshk jazz band,ile pesa waliyoikamata serikali kwani ilirudi [emoji1]
Zimekuja na kuja nyingi wpmbv wanapigw wanaliwa hawakomi
Sasa utafanyaje Acha wapigwe tu
Ova
Wana machungu ila wanajionea aibu kulia kwa sauti πMbona watu wanaonizunguka siwasikii au ndo wanalia kama Mamba mu mayi
Deci kuna aunty yangu alipigwa pesa zake za mirathi, hayo machungu yake alikua kama kafiwa tena.Miaka ile ya deci tu watu walilia kuna wengine kdg wajirushe kutoka gorofa pale ofisi zao mwanamboka kino..ilikuwa mshkmshk jazz band,ile pesa waliyoikamata serikali kwani ilirudi π
Zimekuja na kuja nyingi wpmbv wanapigw wanaliwa hawakomi
Sasa utafanyaje Acha wapigwe tu
Ova
Watu hawajifunzi...hawakomiDeci kuna aunty yangu alipigwa pesa zake za mirathi, hayo machungu yake alikua kama kafiwa tena.
Toka miaka hiyo, naogopa sana hizi mambo!
Huyo mchungaji kawandika wnzake sadaka na yeye kaendaNa wanapigwa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona kuna mama aliweka huko hela za ada za watoto wake, sasa hivi ndoa yake iko rehani. Jamani kweli tuna ujinga kiasi hiki?
Aliye na story za watu walipoteza hela zao LBL, azilete hapa ili wale sikio la kufa wajifunze kuacha ubishi.
View attachment 3249025
Pia Soma:
Utapeli ulivyonirudisha Jamii Forums baada ya miaka 14
Nimeulizwa sana kwenye nyuzi, ngoja leo niwasimulie. Jan 16, 2025 alinipigia simu ndugu yangu mmoja akasema anataka tuonanae. Nikamkaribisha nyumbani, akaja na akaanza kunielezea shida yake. Kiufupi, alikuja kuniomba nimuazime pesa na atanirudishia baada ya wiki mbili. Nikamuuliza kulikoni...www.jamiiforums.com
na
LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji
Kwanini watanzania wengi wanatapeliwa na Ponzi schemes kama LBL Tanzania? Nini chanzo cha watu kutokupenda kufanya tafiti na kutafuta taarifa kabla ya kuinvest pesa. Hakuna kampuni inayoitwa LBL Advertising Media LTD ambayo imesajiliwa Tanzania, ila kuna Kampuni yenye jina sawia imesajiliwa...www.jamiiforums.com
BOT hawawatambui π CalvinPower uliuliza maswali jana kwenye reply yako.
View attachment 3249026