Tuliwaonya kuhusu LBL mkashupaza vichwa, sasa mnaisoma namba!

Kipindi nawaelekeza watu kuwa LBL ni matapeli mlinitukana sana watu wa LBL sasa ngoja zamu yangu umefika malofa wakubwa nyie mnatumia mataqor kufikiri subirini nitoke kuuza ice cream zangu za Bakhera matusi yooote mtayalipa leo kenge wakubwa nyie
🀣 🀣 🀣
 
 
Kunae shost akataka kuniingiza huo mkenge, nkamsikiliza wee, baadae nkamuambia, sina huo ujinga wa kutapeliwa kizembe

Acha aanze kubwata hapo, nkamuambia wee em nipishe bhana, usiniletee mauza uza.
 
Kwa kweli, na hawataki kusikia wala kuelewa. Afu utakuta na bado wengine wanapigwaa. Lol
Miaka ile ya deci tu watu walilia kuna wengine kdg wajirushe kutoka gorofa pale ofisi zao mwanamboka kino..ilikuwa mshkmshk jazz band,ile pesa waliyoikamata serikali kwani ilirudi πŸ˜„
Zimekuja na kuja nyingi wpmbv wanapigw wanaliwa hawakomi
Sasa utafanyaje Acha wapigwe tu

Ova
 
Na wanapigwa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Deci kuna aunty yangu alipigwa pesa zake za mirathi, hayo machungu yake alikua kama kafiwa tena.
Toka miaka hiyo, naogopa sana hizi mambo!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…