Tulizeni presha Simba SC na Yanga SC hawajaanza kukutana leo

Tulizeni presha Simba SC na Yanga SC hawajaanza kukutana leo

Abby Newton

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2017
Posts
1,252
Reaction score
2,253
Kuna watu wamechachawa na mechi ijayo ya watani ya tarehe 8 May, presha juu hawalali. Simba na Yanga wamecheza dabi toka miaka ya 30s hadi leo, na wataendelea kukutana miaka mingi ijayo labda hadi mwisho wa dunia.

Ukitaka kufurahia Simba na Yanga usiwe na presha. Kuwa tayari kwa matokeo yoyote.

Enjoy soka!

Screenshot_20210504-182505.jpg
 
Kwa hiyo Mkuu mini maana ya utani wa jadi? Lazima kila mtu atetee upande wake kuwa utashinda.
 
Hii mechi Ni kawaida Sana. Kama Simba kumfunga tushamfunga Sana hakuna jipya, tufunge au tufungwe yote sawa tu.
 
Kuna watu wamechachawa na mechi ijayo ya watani ya tarehe 8 May, presha juu hawalali. Simba na Yanga wamecheza dabi toka miaka ya 30s hadi leo, na wataendelea kukutana miaka mingi ijayo labda hadi mwisho wa dunia.

Ukitaka kufurahia Simba na Yanga usiwe na presha. Kuwa tayari kwa matokeo yoyote.

Enjoy soka!

View attachment 1773865
Kwa hizi takwim, nadiriki kusema Simba ni kiaz tu kwa Yanga!
 
Kuna watu wamechachawa na mechi ijayo ya watani ya tarehe 8 May, presha juu hawalali. Simba na Yanga wamecheza dabi toka miaka ya 30s hadi leo, na wataendelea kukutana miaka mingi ijayo labda hadi mwisho wa dunia.

Ukitaka kufurahia Simba na Yanga usiwe na presha. Kuwa tayari kwa matokeo yoyote.

Enjoy soka!

View attachment 1773865
Mbona ujuaji mwingi? Acha zitupelekeshe tu hizi timu! Maana ndoimepangwa hivyo! Yaan mimi simba damu nawewe utopolo lialia! Sasa joto lazima lipande! Huoni hata azam tv wenyewe siju yamechi hushinda kutwa nzima wanaizungumzia? Wewe kama inakiona kipigo kitakatif basi jikaushe tu, usisababishe watopolo wengine wakaingiwa ubariiidi?
 
Mitakwimu ya kupika lazima iwe na kasoro, goals scored za Simba lazima zifanane na goals conceded kwa Yanga and vice versa, labda utuambie hiyo conceded ni kitu gani labda ni fouls, goal kicks au corners conceded, lakini kama ni goals conceded hapo umechemka kaa chini tuliza kichwa pika vizuri takwimu zako ndo uje utudanganye.
 
Mitakwimu ya kupika lazima iwe na kasoro, goals scored za Simba lazima zifanane na goals conceded kwa Yanga and vice versa, labda utuambie hiyo conceded ni kitu gani labda ni fouls, goal kicks au corners conceded, lakini kama ni goals conceded hapo umechemka kaa chini tuliza kichwa pika vizuri takwimu zako ndo uje utudanganye.
Nimeshangaa kuwa Yanga imefunga 103 lakini kwa upande wa ku concede Simba ime concede mara 47.

Anyways tuseme ni GD badala ya conceding bado hesabu hazikubali. Labda mleta uzi atufafanulie hapo kwenye CONCEDING ni takwimu gani.
 
Yanga anakufa hii mechi.
Mechi za dabi hazitabiriki lakini kwa hii mechi Yanga atafungwa.

1)Simba wanapata apdates zote za ndani(nyeti) za Yanga kuelekea hii mechi.
2)Mpaka sasa Yanga sio wamoja kuanzia viongozi,wachezaji mpaka mashabiki.kuna viongozi upande wa gsm na wa Msolwa,kuna wachezaji wazawa wanaowatuhumu wachezaji wageni kupendelewa.
3)Simba hii mpaka sasa imeshacheza mechi za CAF zilizokua na presha kubwa na wakawa watulivu na wakafanya vizuri.
4) Kwa mchezaji mmoja mmoja Simba wapo vizuri kuliko wapinzani wao.

Mwisho mpira ni dakika 90,kuna matokeo matatu,kushinda kufungwa na kudraw.
 
Shabiki wa YANGA na mtaalamu wa kubashiri.Nimeota ndoto tunafungwa.
 
Back
Top Bottom