Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Kwamba anashindia mapapai ujasusi atauwezea wapi sio??Nyie Chadema mnamtegemea Yericko Nyerere kwenye mambo ya usalama, mtu anakula maembe kutwa nzima huko kigamboni
Nyie Chadema mnamtegemea Yericko Nyerere kwenye mambo ya usalama, mtu anakula maembe kutwa nzima huko kigamboni
Jamaa mweupe kichwani yuleNyie Chadema mnamtegemea Yericko Nyerere kwenye mambo ya usalama, mtu anakula maembe kutwa nzima huko kigamboni
Kweli kabisa. Kuna ile sophistication wanayajaribu kui portray lakini kiukweli mbali ya kuwa na jina kubwa la taasisi wengi wao ni very shallow.Mnawaover rate Sana, jamaa kichwani ni watupu Ila wamekalia kuonea watu tu.
Hao wanajua taarifa nyingi sana za ndani na nje ya nchi, za mtu mmoja mmoja.Kweli kabisa. Kuna ile sophistication wanayajaribu kui portray lakini kiukweli mbali ya kuwa na jina kubwa la taasisi wengi wao ni very shallow.
Wanaishi maisha ya movie sana kuliko uhalisia wa ufanisi wao.
Hawa hawa tunaogombea nao mnazi na madanga huku mitaani?Hao wanajua taarifa nyingi sana za ndani na nje ya nchi, za mtu mmoja mmoja.
Mkuu wewe utakuwa unaishi Kalelankulukulu ama Nanyamba ndiyo maana unaona kama ni wenye akili sanaHao hao, wako kazini, na hao wauza mnazi na madanga yako, pengine ndio haohao wanakufanyia lifestyle audit
DuhNyie Chadema mnamtegemea Yericko Nyerere kwenye mambo ya usalama, mtu anakula maembe kutwa nzima huko kigamboni
Doooh tuhuma nzito na isiyofaa hii.Tiss wengi ni weupe kichwani