Tulizoea kwa unyeti wa kazi ya Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa, wanapoondolewa hupelekwa Ubalozini

Tulizoea kwa unyeti wa kazi ya Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa, wanapoondolewa hupelekwa Ubalozini

Nyie Chadema mnamtegemea Yericko Nyerere kwenye mambo ya usalama, mtu anakula maembe kutwa nzima huko kigamboni
[emoji3][emoji3]Kwamba anashindia mapapai ujasusi atauwezea wapi sio??
 
Kama hivyo ndivyo, inaonesha Samia na wasaidizi wake wote hawajielewi, mpaka leo karibia miaka miwili ikulu bado wanafanya kazi kwa kubahatisha tu.
 
Acha aonje joto ya jiwe wale waliomlinda ndio watamshugulikia
 
Mnawaover rate Sana, jamaa kichwani ni watupu Ila wamekalia kuonea watu tu.
Kweli kabisa. Kuna ile sophistication wanayajaribu kui portray lakini kiukweli mbali ya kuwa na jina kubwa la taasisi wengi wao ni very shallow.
Wanaishi maisha ya movie sana kuliko uhalisia wa ufanisi wao.
 
Kweli kabisa. Kuna ile sophistication wanayajaribu kui portray lakini kiukweli mbali ya kuwa na jina kubwa la taasisi wengi wao ni very shallow.
Wanaishi maisha ya movie sana kuliko uhalisia wa ufanisi wao.
Hao wanajua taarifa nyingi sana za ndani na nje ya nchi, za mtu mmoja mmoja.
 
Hawa hawa tunaogombea mnazi na madanga huku mitaani?
Hao hao, wako kazini, na hao wauza mnazi na madanga yako, pengine ndio haohao wanakufanyia lifestyle audit
 
Hao hao, wako kazini, na hao wauza mnazi na madanga yako, pengine ndio haohao wanakufanyia lifestyle audit
Mkuu wewe utakuwa unaishi Kalelankulukulu ama Nanyamba ndiyo maana unaona kama ni wenye akili sana
 
Mkuu wewe utakuwa unaishi Kalelankulukulu ama Nanyamba ndiyo maana unaona kama ni wenye akili sana
Hizo hizo unazoona sio akili, kwa wenzio ndio akili
 
Back
Top Bottom