Tulizoea kwa unyeti wa kazi ya Ukurugenzi wa Usalama wa Taifa, wanapoondolewa hupelekwa Ubalozini

Doooh tuhuma nzito na isiyofaa hii.
Tiss wengi ni weupe kichwani

Wanabebwa na wale wa makao makuu. Wale ndio wataalam tuuu ila hizi ngazi nyingine ni weupe mno ndio maana maeneo mengi utasikia amekuja kutoka makao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…