Tuma Salaam Kwa Watu Watatu

Tuma Salaam Kwa Watu Watatu

Iyegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2014
Posts
6,276
Reaction score
12,404
...Ni muda kuwakumbuka wanaJF wenzetu popote walipo kwa kuwatumia salaam za kuwatakia kheri kwa kila walitendalo.
  • salaam zangu za kwanza ziende kwa..dada Valentina popote alipo.
  • ...za pili ziende kwa Heaven Sent popote pale alipo
  • na za tatu zimfikie kaka Lizaboni najua yupo kwenye majukumu ya hapa na pale mwambieni The Book namsalimu sana.....UJUMBE "Jogoo wa Shamba Hawiki Mjini"
naachia laini...............................
 
Back
Top Bottom