Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,404
...Ni muda kuwakumbuka wanaJF wenzetu popote walipo kwa kuwatumia salaam za kuwatakia kheri kwa kila walitendalo.
- salaam zangu za kwanza ziende kwa..dada Valentina popote alipo.
- ...za pili ziende kwa Heaven Sent popote pale alipo
- na za tatu zimfikie kaka Lizaboni najua yupo kwenye majukumu ya hapa na pale mwambieni The Book namsalimu sana.....UJUMBE "Jogoo wa Shamba Hawiki Mjini"