mbona hujaachia laini??Napenda kutuma salamu kwanza kwa wifi yangu @Valentina.Pili kwa shemeji yangu Behaviourist na mwisho kwa jirani yangu @Omerta,Ujumbe nimewakumbuka sana weekend waje kunisalimia nyumbani
Nataka kutuma tena naruhusiwa?mbona hujaachia laini??
samahanni nilisahua kuachia laini, pia natuma salamu kwa LE mutuz,sjui nmepatia jina jaman.poa achia laini
Tuma ila usinisahau [emoji6]Nataka kutuma tena naruhusiwa?
Yani nimekumiss balaaaa.Upo?Nikiruhusiwa nitakutumia salamuTuma ila usinisahau [emoji6]
Nipo nimejaa teleYani nimekumiss balaaaa.Upo?Nikiruhusiwa nitakutumia salamu
Hahahaah tisiaraei hapa hawapitimtumie tu ila usivuke mipaka maana TISIARAEI wasijefungia JF FM