Mgosi usijaribu kuilamba sumu ya kinyonga. SweetyCandy belongs to the Chief of Sambaa People, His Excellency Tate Mkuu! aka Tate Shebughe!Popote ulipo mpenzi wangu mpya SweetyCandy niliyemnyakua kutoka kwa Tate Mkuu nakusalimu kwa jina la Valentine mungu akupe maisha marefu kipenzi changu. naitwa holoholo kutoka Bukavu DRC.
Mwambie tutamloga khee mpaka ajute kizaliwaMgosi usijaribu kuilamba sumu ya kinyonga. SweetyCandy belongs to the Chief of Sambaa People, His Excellency Tate Mkuu! aka Tate Shebughe!
Oyaaaa, pamoja man. Tuishi sana.Hapa nina salaam za wana kama makutupora dronedrake Half american Poor Brain Mad Max Leejay49 leo dada na wana JF wote kwa ujumla
Natuma salamu na tunamshukuru sana mama kwa kuanzisha na kutuletea siku hii muhimu.Kila mwaka Februari 13 ni maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Siku hii huadhimisha umuhimu wa redio katika kuhabarisha jamii, kukuza uhuru wa kujieleza, na kuwa msaada muhimu wakati wa majanga na matatizo.
Lengo la Siku ya Redio Duniani ni kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa redio. Ingawa leo hii dunia inatawaliwa na televisheni na simu za mkononi, redio bado ni moja ya vyombo vya mawasiliano vinavyoheshimika, rafiki wa kusafiri, na jukwaa la sauti za jamii kupitia redio za kijamii.
Pia redio bado ni chanzo cha taarifa kinachoheshimiwa na ina mchango mkubwa wakati wa dharura. Inachukua jukumu muhimu katika kukabiliana na masuala ya kimataifa kama mabadiliko ya tabia nchi na inatoa jukwaa kwa mitazamo isiyosikika mara nyingi.
Mada ya Siku ya Redio Duniani 2025 ni "Redio na Mabadiliko ya Tabia Nchi." Lengo la dhima hii ni kuhamsisha watangazaji katika vituo vya redio katika uandishi wao wa habari kuhusu suala hili muhimu ambalo limekuwa janga kubwa duniani
πͺπͺ Bila kuchoka mkuuOyaaaa, pamoja man. Tuishi sana.
mkuu Tate Mkuu si ndo utakuwa umenisogeza karibu nae huyu SweetyCandy hata kama ni msukule ukiondoka tu kidogo namgeuza kuwa mke wangu,alafu nimesikia story yako moja ikaniacha mdomo wazi.Huyu holoholo akiendelea kukusumbua, nitamgeuza mara moja kuwa msukule halafu kazi yake kubwa itakuwa ni kukuosha tu miguu na kuzipaka rangi kucha zako za mikononi na miguuni, ili uendelee kupendeza.
Natuma Salaam kwa Leonard Mambo Mbotela na ndugu yangu Kiango MumanyiiiiiKila mwaka Februari 13 ni maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Siku hii huadhimisha umuhimu wa redio katika kuhabarisha jamii, kukuza uhuru wa kujieleza, na kuwa msaada muhimu wakati wa majanga na matatizo.
Lengo la Siku ya Redio Duniani ni kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa redio. Ingawa leo hii dunia inatawaliwa na televisheni na simu za mkononi, redio bado ni moja ya vyombo vya mawasiliano vinavyoheshimika, rafiki wa kusafiri, na jukwaa la sauti za jamii kupitia redio za kijamii.
Pia redio bado ni chanzo cha taarifa kinachoheshimiwa na ina mchango mkubwa wakati wa dharura. Inachukua jukumu muhimu katika kukabiliana na masuala ya kimataifa kama mabadiliko ya tabia nchi na inatoa jukwaa kwa mitazamo isiyosikika mara nyingi.
Mada ya Siku ya Redio Duniani 2025 ni "Redio na Mabadiliko ya Tabia Nchi." Lengo la dhima hii ni kuhamsisha watangazaji katika vituo vya redio katika uandishi wao wa habari kuhusu suala hili muhimu ambalo limekuwa janga kubwa duniani
Kidumu chama Cha MajoblessMimi Kama raisi wa chama Cha ma jobless pro max, Natumai salamu Kwa wanachama wote wa chama changu popote walipo.
Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy
Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3235320
Nimezipokea samaleko hizi kwa moyo wa unyenyekevu sanaaa!Hapa nina salaam za wana kama makutupora dronedrake Half american Poor Brain Mad Max Leejay49 leo dada na wana JF wote kwa ujumla
Pamoja sana mkuuKidumu chama Cha Majobless
Nimezipokea samaleko hizi kwa moyo wa unyenyekevu sanaaa!
Asante sana mkuu
Aisee babeHuyu holoholo akiendelea kukusumbua, nitamgeuza mara moja kuwa msukule halafu kazi yake kubwa itakuwa ni kukuosha tu miguu na kuzipaka rangi kucha zako za mikononi na miguuni, ili uendelee kupendeza.
Asante sana kwa salaamu,, pia salaam kwakoHapa nina salaam za wana kama makutupora dronedrake Half american Poor Brain Mad Max Leejay49 leo dada na wana JF wote kwa ujumla
Zimepokelewa kwa moyo mkunjufuAsante sana kwa salaamu,, pia salaam kwako
Peace&love man, booooooomba π―π²π―π²π―π² jamaican ganja plantaHapa nina salaam za wana kama makutupora dronedrake Half american Poor Brain Mad Max Leejay49 leo dada na wana JF wote kwa ujumla
Amin rasta faraiPeace&love man, booooooomba π―π²π―π²π―π² jamaican ganja planta