Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Bahati ilioje kutumiwa salami na Malaika mzuri kama wewe.
Nimezipokeaš„°š„°
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salam zimefika muheshimiwa raisi.Mimi Kama raisi wa chama Cha ma jobless pro max, Natumai salamu Kwa wanachama wote wa chama changu popote walipo.
Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy
Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3235320
Hawasikilizi wanaangalia aušššredio siku hizi watu hawasikilizi
Golgotha Magabe pokea zangu salamuKila mwaka Februari 13 ni maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Siku hii huadhimisha umuhimu wa redio katika kuhabarisha jamii, kukuza uhuru wa kujieleza, na kuwa msaada muhimu wakati wa majanga na matatizo.
Lengo la Siku ya Redio Duniani ni kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa redio. Ingawa leo hii dunia inatawaliwa na televisheni na simu za mkononi, redio bado ni moja ya vyombo vya mawasiliano vinavyoheshimika, rafiki wa kusafiri, na jukwaa la sauti za jamii kupitia redio za kijamii.
Pia redio bado ni chanzo cha taarifa kinachoheshimiwa na ina mchango mkubwa wakati wa dharura. Inachukua jukumu muhimu katika kukabiliana na masuala ya kimataifa kama mabadiliko ya tabia nchi na inatoa jukwaa kwa mitazamo isiyosikika mara nyingi.
Mada ya Siku ya Redio Duniani 2025 ni "Redio na Mabadiliko ya Tabia Nchi." Lengo la dhima hii ni kuhamsisha watangazaji katika vituo vya redio katika uandishi wao wa habari kuhusu suala hili muhimu ambalo limekuwa janga kubwa duniani
mamdogo tenahNatuma salamu kwa mamdogo wangu Lucas Mwashambwa akiwa Lumumba
Nimezipokea asante sana.Natuma salamu kwa wana Yanga wote.
Ahsante sana, barikiwa sana mkuu. I appreciate
Tank Wah gwaan man, ONE LIFE, ONE LOVE, ONE YOUNITYAmin rasta farai
Shukran sana mkuu, tuko pamoyaSalamu kwa secretarybird na mzabzab
Asante sana Lucas, ukawe na weekend njema.šNatuma Salamu Kwa ephen wangu lazizi wa ā¤ļø wangu. ephen una Sehemu yako moyoni mwangu.
sawa mkuuShukran sana mkuu, tuko pamoya
inshaAllah...Natuma salamu kwa Etugrul Bey Nurain Firdaus9 adriz Kazakh destroyer ujumbe naomba Allah atujaalie tudiriki mwezi wa ramadhan