Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Staki mbege😂😂😂unanikoseaNenda kwa mama chadeeema mwambie akupe bohora mbili ushuke nazo saa hivi 😂😂
Basii kunywa mtorrriiiii nyama zipo chiniStaki mbege😂😂😂unanikosea
Kama ndo umeamua niteseke sawa😹Basii kunywa mtorrriiiii nyama zipo chini
Ngoja nimpgie shemej yangu muonane 😂Kama ndo umeamua niteseke sawa😹
KWELI KabisaCheo kipi kinakufaa? unajua humu wengine kama wadogo zenu au watoto so Kuna jina inabidi ulitumie ili li balance kotekote 😂
Asante kwa salam kijana wetu.Natuma salama kwa Ushimen
Natuma salamu kwa chapombe Evelyn Salt (ole wako uchukie)
Salamu zangu nazituma kwa Kiranga na mdogo wake Demi
Sijamsahahu FRANCIS DA DON heshima yako mkuu.
mzabzab bila shaka salamu kutoka kwa Trump umezipokea.
Nawatakieni maisha mema.
Joanah wewe sikutaji subiria mwakani
Acha TU😂😂Ngoja nimpgie shemej yangu muonane 😂
SIkuwa nafahamu kwamba Kiranga ni kaka yangu 😅Natuma salama kwa Ushimen
Natuma salamu kwa chapombe Evelyn Salt (ole wako uchukie)
Salamu zangu nazituma kwa Kiranga na mdogo wake Demi
Sijamsahahu FRANCIS DA DON heshima yako mkuu.
mzabzab bila shaka salamu kutoka kwa Trump umezipokea.
Nawatakieni maisha mema.
Joanah wewe sikutaji subiria mwakani
Nataka nije kulima Tumbaku huko Ushirombo mkuuAsante kwa salam kijana wetu.
Naona ushakua mwenyeji mjini eehhh....😊
Naam chief iko hivyo! Ushatoka ibadani 😝KWELI Kabisa
Kuna kazi niliona umeifanya vyema sana, nami naiandaa hapa nitakutafuta mwezi April uje unifanyie mazuriNataka nije kulima Tumbaku huko Ushirombo mkuu
Karibu sana mkuuKuna kazi niliona umeifanya vyema sana, nami naiandaa hapa nitakutafuta mwezi April uje unifanyie mazuri
Yeah, nimetoka Ndugu yangu, Niko hapa Bar naangalia mpira KidogoNaam chief iko hivyo! Ushatoka ibadani 😝
Ha haaa hatari sanaKuna watu wanapima DNA kwa maandishi hapa, ndiyo hivyo ushaungwa kwenye familia.