Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👍sawa mkuu
Shukrani sana kwa salamuinshaAllah...
Nami salamu zangu ziende kwa baby zu Akhi Firdaus9 Kazakh destroyer ukhty FaizaFoxy na Mzee wangu Mohamed Said ... Tuzidishe kufanya ibada kwani mauti yapo karibu mithili ya shingo na kichwa.
InshaAllahNatuma salamu kwa Etugrul Bey Nurain Firdaus9 adriz Kazakh destroyer ujumbe naomba Allah atujaalie tudiriki mwezi wa ramadhan
Nazipokea mkuu🙏
Aamiyn, shukran sana ndugu.Natuma salamu kwa Etugrul Bey Nurain Firdaus9 adriz Kazakh destroyer ujumbe naomba Allah atujaalie tudiriki mwezi wa ramadhan
Nimepokea salamu shekhe, japo long time no see, nasaha nimezichukua na ntafanyia kazi biidhnillah.inshaAllah...
Nami salamu zangu ziende kwa baby zu Akhi Firdaus9 Kazakh destroyer ukhty FaizaFoxy na Mzee wangu Mohamed Said ... Tuzidishe kufanya ibada kwani mauti yapo karibu mithili ya shingo na kichwa.
AmenBahati ilioje kutumiwa salami na Malaika mzuri kama wewe.
Nimezipokea[emoji3059][emoji3059]
Salam kwa mzee wa Makongorosi ChunyqKila mwaka Februari 13 ni maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Siku hii huadhimisha umuhimu wa redio katika kuhabarisha jamii, kukuza uhuru wa kujieleza, na kuwa msaada muhimu wakati wa majanga na matatizo.
Lengo la Siku ya Redio Duniani ni kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa redio. Ingawa leo hii dunia inatawaliwa na televisheni na simu za mkononi, redio bado ni moja ya vyombo vya mawasiliano vinavyoheshimika, rafiki wa kusafiri, na jukwaa la sauti za jamii kupitia redio za kijamii.
Pia redio bado ni chanzo cha taarifa kinachoheshimiwa na ina mchango mkubwa wakati wa dharura. Inachukua jukumu muhimu katika kukabiliana na masuala ya kimataifa kama mabadiliko ya tabia nchi na inatoa jukwaa kwa mitazamo isiyosikika mara nyingi.
Mada ya Siku ya Redio Duniani 2025 ni "Redio na Mabadiliko ya Tabia Nchi." Lengo la dhima hii ni kuhamsisha watangazaji katika vituo vya redio katika uandishi wao wa habari kuhusu suala hili muhimu ambalo limekuwa janga kubwa duniani
Usalama upo mama parokwoShukrani baba parokwo. Umeamka salama?
Hahahaaa hiki cheo cha U-Boss hakinifai, asante Sana kwa Salam sheikhBoss @Determinantor
😂nipe maua yangu kwanzaSalamu ziwafikie
Blood ibn Unuq
Mentor Dr am 4 real PhD
Brother Hovering
Mzee wangu Etugrul Bey
Mamchaga Qashy Lilith
Boss Determinantor
Jamaa zangu Mwachiluwi Poor Brain SECRETARY BIRD CPA mzabzab zab (elfu nane yangu 😂)
Pokea pokea zawadii za upendo wangu 😂😂nipe maua yangu kwanza
Cheo kipi kinakufaa? unajua humu wengine kama wadogo zenu au watoto so Kuna jina inabidi ulitumie ili li balance kotekote 😂Hahahaaa hiki cheo cha U-Boss hakinifai, asante Sana kwa Salam sheikh
Lakini duniani kote Radio Ndiyo chanzo kikuu habari. Means population kubwa wanasikiliza radio., nenda Gwanumpu huko uone radio inavyo tawala. Hata ulaya radio inasikilizwa sana mkiwa kazini, kwenye viwanda na warehouse ni radio na kazi. TV mtakutana nayo canteen wakati wa break tu.😀😀😀redio siku hizi watu hawasikilizi
satanic!Mimi Kama katibu wa chama Cha kataa ndoa, natuma salamu Kwa wanachama wote wa kataa ndoa.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
Mwenyekiti Liverpool VPN, katibu mwenezi Intelligent businessman, mwanasheria Xi Jinping,
Wajumbe wa kataa ndoa Natafuta Ajira, min -me
Mhasibu wa kataa ndoa OKW BOBAN SUNZU
View attachment 3235328
you're just another product of a satanic shitsatanic!
JESUS IS LORD&SAVIOR
Sipokei😂🙏bila mauaPokea pokea zawadii za upendo wangu 😂
Nenda kwa mama chadeeema mwambie akupe bohora mbili ushuke nazo saa hivi 😂😂Sipokei😂🙏bila maua