Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa


Shukrani kwa salamu jombaa, naendelea kupandisha kiwango sasa hivi.
 
Lol. Nimekumbuka mambo ya redio Tanzania.

1. Mzee mwenzangu Sesten Zakazaka akiwa kule Siasani.

2. Rafiki wa mie Numbisa akiwa kule wanakokulaga likes.

3. Kaka yangu DellaPina akiwa humu humu.

4. Swahiba Mgagaa na Upwa akiwa kule kwenye Battle la Tanzania na Kenya.

5. Mdogo wa mie ukhuty huyu akiwa huko kunakomfanya awe adimu siku hizi bila kumsahau Rafiki mahondaw akiwa na shem Smart911.

Ujumbe:- Najua sijachelewa karibuni sana huku madongo kuinama tuimalizie sikukuu wandugu. πŸ™ Karibuni mnoo. πŸ™
 
Salamu zangu za Kwanza zimfikie

Smart911 a.k.a brazaaa πŸ˜‚ nakukubali Sana mwamba kula gwala kwazaπŸ‘Š

Za pili zimfikie Makiseo nakupendaga Sana mdada.. ujumbe ubaki hapo hapo kwenye kutoa likes.

Za tatu zimfikie Depal kipenzi changu Cha ukorofi.. ujumbe Nakupenda tu ivyo ivyo nifanyeje sasa.

Za nne zimfikie cocastic ..ujumbe mfyuuuu Nakupenda ovyoo..punguza mapepe.

Za tano zimfikie Mjep mchizi wanguuuu..ujumbe acha uchoyo kwenye vitamu hatualikani Ila poa tu.

Ovaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…