Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Byeyombo nakusalimia sana tudumishe salamu maana ndo uungwana[emoji123][emoji123][emoji123]kigoma independent nakusalimia mkuu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Byeyombo nakusalimia sana tudumishe salamu maana ndo uungwana[emoji123][emoji123][emoji123]kigoma independent nakusalimia mkuu!!
Numbisa Mimi mbona haujanitajaSalamu imetulia hii. Tamu kama pilau ya Eid. Shukrani sana best. Weekend iwe njema kwako
Numbisa Mimi mbona haujanitaja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimae nimekumbukwaaa...!! Nashukuru mkuuNatuma salamu kwake..
lliedie ujumbe NAKUPENDA SANA. [emoji847]
Kasie ujumbe tuliza hayo mapengo..[emoji12]
Saint Anne ujumbe endelea kuvaa magauni ya yes ndie mwamba..[emoji28]
ledada ujumbe yesu anakuja tulia sehemu moja..[emoji28]
Shunie ujumbe uache kutafuna vitenge vya shangazi yako..[emoji23]
Mshana Jr ujumbe usigombee hata uenyekiti usije tuharibia taifa kwa tunguli..[emoji12]
rikiboy ujumbe kikao cha mabaharia kitakuwa saa moja jioni,waambie wajumbe wasisahau ile zana..[emoji41]
BAK ujumbe kaa mbali na naniliu..[emoji23]
Bado narudi..
Hivi hujapata tu sms ya Mpesa? Wananini lakini hawa jamani.Rafiki salamu bila mualiko wa soda inakuwaje?
[emoji849]
Hawa si ndo wanasemaga sikukuu mtandao wao unazidi wa nguvu.Hivi hujapata tu sms ya Mpesa? Wananini lakini hawa jamani.
Lol. Nimekumbuka mambo ya redio Tanzania.
1. Mzee mwenzangu Sesten Zakazaka akiwa kule Siasani.
2. Rafiki wa mie Numbisa akiwa kule wanakokulaga likes.
3. Kaka yangu DellaPina akiwa humu humu.
4. Swahiba Mgagaa na Upwa akiwa kule kwenye Battle la Tanzania na Kenya.
5. Mdogo wa mie ukhuty huyu akiwa huko kunakomfanya awe adimu siku hizi bila kumsahau Rafiki mahondaw akiwa na shem Smart911.
Ujumbe:- Najua sijachelewa karibuni sana huku madongo kuinama tuimalizie sikukuu wandugu. [emoji120] Karibuni mnoo. [emoji120]
Sio vizuri kiafyaKula tu havidhuru hivyoí ¾í´£í ¾í´£
Nilitahadharisha tu mtani sijamaanisha ulivyowazaHahahaaa. Napika vingine bana Mtani vile viliisha.
#Shushumubashara. Lol
Umeanza lini kuwa na wivu?Yaani mimi ni namba nne? Kweli???
Wewe jirani mbayaí ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸usipate shida sis na mimi nimejitahidi kumkata jirani yako Mtoto halali na hela stimuí ½í¸í ½í¸
Ahaa pokea salamu
Hivi ukipigwa utamlaumu nani?Natuma salama kwa takataka Chelsea..
Ujumbe: Wasubiri misimu ijayo kutoka kapa kama msimu huu
Daaaaaah sawa bhana, but nakutakia salamu japo kishingo upande(tuwe tunakumbukana zile ligi ndogondogo tuziache[emoji1787][emoji1787][emoji1787])Team hater hatupendanagi ujue