Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wenye damu ya makonda na ndugai hatutajwi hata siku moja kwenye nyuzi kama hizi.
Nawashukuru Wana jf wenzangu niliwapenda ila uhalisia umeonyesha hamnipendi kila zinapoanzishwa nyuzi Kama huwa sitajwi kamwe as if am nothing.nilijua Niko kwenye familia inayojali hisia kumbe hapana anyway nimewaelewa .
Kumbe mnavyowakatisha tamaa waliochoshwa na maisha huwa hamuigizi ndio nyie halisi mlivyo.
Hamjali hisia za wengine sikutegemea nitatajwa ila nilipitia uzi huu ili nione thamani yangu kwenu unfortunately am worthless!!
Kuanzia Leo nadhani sitatuma post yeyote iwayo mpaka naingia kaburini.
Kwaheri jf kwaherini (I planted my pumpkins on a desert)
Hamtaniona humu milele
Mimi sio attention sicker Ila nilijua kwamba humu Kuna watu wanaojali watu kumbe nop I was wrong
Mungu awe nanyi.
Chaoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sisi wenye damu ya makonda na ndugai hatutajwi hata siku moja kwenye nyuzi kama hizi.
Nimeamua kuwadharau wana jf wote isipokuwa Sky Eclat @erthrocyte Salary Slip Kunde Ekeke na majembe wangu wachache wanaonikubali kwenye mirengo yangu kama BAK na gsam bila kumsahau Mshana Jr wengine wote mkafie mbele.Nilijua utasema unajitoa kabisa JF kwa sababu hujatajwa!
I love 💓 superbugNimeamua kuwadharau wana jf wote isipokuwa Sky Eclat @erthrocyte Salary Slip Kunde Ekeke na majembe wangu wachache wanaonikubali kwenye mirengo yangu kama BAK na gsam bila kumsahau Mshana Jr wengine wote mkafie mbele.
Nimeamua kuwadharau wana jf wote isipokuwa Sky Eclat @erthrocyte Salary Slip Kunde Ekeke na majembe wangu wachache wanaonikubali kwenye mirengo yangu kama BAK na gsam bila kumsahau Mshana Jr wengine wote mkafie mbele.
Naweza kuwa most connected person humu ila sipendi show off Kama za kina @khatwe demu baayaaa na @yn2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huna konekshen mkuu
Nimeamua kuwadharau wana jf wote isipokuwa Sky Eclat @erthrocyte Salary Slip Kunde Ekeke na majembe wangu wachache wanaonikubali kwenye mirengo yangu kama BAK na gsam bila kumsahau Mshana Jr wengine wote mkafie mbele.
Always wana kubali post zangu kwa likes za kutosha na hao ndio wanafanya naingia jfSasa hayo majembe yako hakuna hata mmoja anaye ona umuhimu wako humu, wote wanakuona siyo.
Always wana kubali post zangu kwa likes za kutosha na hao ndio wanafanya naingia jf
[emoji2] yani hadi wewe rafiki yangu unaroho nzuri halafu unashabikia utopolo wa Chelsea kweli!?Hivi ukipigwa utamlaumu nani?
🤣🤣 Take it easy man am not obsessed with popularity thou.....jf is just for funny sometimes..!!!Sasa kama unafahamu wapo wanaokukubali kwa nini unapenda kulalamika usipotajwa?
Unatakiwa kujua kwamba hao unaowakubali wamekutaja hata kama hawajaandika.
🤣🤣 Take it easy man am not obsessed with popularity thou.....jf is just for funny sometimes..!!!
Tailing me so much that way defines my importance into you....Reading between lines, seems as if it concerns you so much not to be mentioned.
Had it been the first time, I could have taken it easy, but it ain't the first, nor the last.
Thubutuu...vimetukuza hivyo.ugali wa jana asubuhi unauchoma vizuuuuri kabisa na kuukata kama vipande vya mikate tayari kwa ajili ya kunywa chaiSio vizuri kiafya
Hapana mimi ni jirani mzuri😅😅Wewe jirani mbaya