Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Lol. Nimekumbuka mambo ya redio Tanzania.

1. Mzee mwenzangu Sesten Zakazaka akiwa kule Siasani.

2. Rafiki wa mie Numbisa akiwa kule wanakokulaga likes.

3. Kaka yangu DellaPina akiwa humu humu.

4. Swahiba Mgagaa na Upwa akiwa kule kwenye Battle la Tanzania na Kenya.

5. Mdogo wa mie ukhuty huyu akiwa huko kunakomfanya awe adimu siku hizi bila kumsahau Rafiki mahondaw akiwa na shem Smart911.

Ujumbe:- Najua sijachelewa karibuni sana huku madongo kuinama tuimalizie sikukuu wandugu. 🙏 Karibuni mnoo. 🙏
Shukran saana Shadeeya, kweli hujachelewa ngoja nianze kujisogeza pande hizo maana najua kuchinja ni ndani ya masiku matatu baada ya siku kuu, sina shaka kichinjwa kitakuwepo😀🤣
 
Wa kwanza kabisa ni mimi mwenyewe mfukua makaburi

Salamu zangu za pili zimfikie Field Marshal Mfukua Makaburi akiwa Nyakanazi, njia panda ya kigoma.

Salamu zangu za tatu na za mwisho zimfikie si mwingine bali mtakatifu mfukua makaburi muda huu akiwa na mpenzi wake mtoto mzuri mrefu aliebarikiwa mwili mzuri Grace akiwa anampa blow job. Hakika wanawake wengine wameumbwa ila Grace amebarikiwa.
Acha kutupanga, hamna mwanamke wa nyakanazi anaejua blowjob. Labda kama ana blow upepo kuchochea kuni mchome ndizi kwa ajili kifungua kinywa asubuhi
 
Salamu zangu za Kwanza zimfikie

Smart911 a.k.a brazaaa [emoji23] nakukubali Sana mwamba kula gwala kwaza[emoji109]

Za pili zimfikie Makiseo nakupendaga Sana mdada.. ujumbe ubaki hapo hapo kwenye kutoa likes.

Za tatu zimfikie Depal kipenzi changu Cha ukorofi.. ujumbe Nakupenda tu ivyo ivyo nifanyeje sasa.

Za nne zimfikie cocastic ..ujumbe mfyuuuu Nakupenda ovyoo..punguza mapepe.

Za tano zimfikie Mjep mchizi wanguuuu..ujumbe acha uchoyo kwenye vitamu hatualikani Ila poa tu.

Ovaaaa
Jamaniiiiiiiih baaas ntaacha mapepeh dea, nakupenda pia moaaah [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Natuma salam kwa
MK254, Tony254, Teargass, pingli-nywee and Kevin85ify
Ujumbe: mwaka huu lazima tuzae na nyie andaeni vyakula vya kuongeza maziwa machotara wetu wa kikenya msiwaue kwa utapiamlo.
Na kwa watanzania chawa kama Wyatt methewson, BAK, Kim Jong Jr, G Sam nk nawashauri punguzeni uchawa sisi kama nchi tunapoamua kupambania maslahi ya nchi. Usnitch haulipi.
Na mwisho kabisa ni kwa dada zetu ndani ya Jf, tunashindwa kuelewa mko upande gani kwenye ugomvi wetu na wakenya. Hua hamchangii kabisa linapotokea tifu na mshikemshike dhidi ya wakenya. Tunaomba muache hii tabia ya kutoguswa kaka zenu tunapokuwa tunawashikisha adabu. Mjue kabisa mnapotunyima support siku maji yakizidi unga nyie na wapwa zetu ndo waathirika wakuu, mtabaki mnahangaika wakati sisi hatupo. Shauri yenu
 
Lol. Nimekumbuka mambo ya redio Tanzania.

1. Mzee mwenzangu Sesten Zakazaka akiwa kule Siasani.

2. Rafiki wa mie Numbisa akiwa kule wanakokulaga likes.

3. Kaka yangu DellaPina akiwa humu humu.

4. Swahiba Mgagaa na Upwa akiwa kule kwenye Battle la Tanzania na Kenya.

5. Mdogo wa mie ukhuty huyu akiwa huko kunakomfanya awe adimu siku hizi bila kumsahau Rafiki mahondaw akiwa na shem Smart911.

Ujumbe:- Najua sijachelewa karibuni sana huku madongo kuinama tuimalizie sikukuu wandugu. 🙏 Karibuni mnoo. 🙏
Ahsante sana swahiba,dah!kumbe uwa unapita pita kule jukwaa la wale wajivuni
 
Salamu zangu za Kwanza zimfikie

Smart911 a.k.a brazaaa 😂 nakukubali Sana mwamba kula gwala kwaza👊

Za pili zimfikie Makiseo nakupendaga Sana mdada.. ujumbe ubaki hapo hapo kwenye kutoa likes.

Za tatu zimfikie Depal kipenzi changu Cha ukorofi.. ujumbe Nakupenda tu ivyo ivyo nifanyeje sasa.

Za nne zimfikie cocastic ..ujumbe mfyuuuu Nakupenda ovyoo..punguza mapepe.

Za tano zimfikie Mjep mchizi wanguuuu..ujumbe acha uchoyo kwenye vitamu hatualikani Ila poa tu.

Ovaaaa

Inapendeza sana kichaa wangu... chukua gwala...
Pamoko sana...

Ila sema nini, wangeweka option ya kutoa reaction zaidi ya moja kwa wakati huo huo...


Cc: mahondaw
 
Salamu imetulia hii. Tamu kama pilau ya Eid. Shukrani sana best. Weekend iwe njema kwako
Lol. Nimekumbuka mambo ya redio Tanzania.

1. Mzee mwenzangu Sesten Zakazaka akiwa kule Siasani.

2. Rafiki wa mie Numbisa akiwa kule wanakokulaga likes.

3. Kaka yangu DellaPina akiwa humu humu.

4. Swahiba Mgagaa na Upwa akiwa kule kwenye Battle la Tanzania na Kenya.

5. Mdogo wa mie ukhuty huyu akiwa huko kunakomfanya awe adimu siku hizi bila kumsahau Rafiki mahondaw akiwa na shem Smart911.

Ujumbe:- Najua sijachelewa karibuni sana huku madongo kuinama tuimalizie sikukuu wandugu. 🙏 Karibuni mnoo. 🙏
 
Back
Top Bottom