Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Natuma salamu kwake..
lliedie ujumbe NAKUPENDA SANA. [emoji847]

Kasie ujumbe tuliza hayo mapengo..[emoji12]

Saint Anne ujumbe endelea kuvaa magauni ya yes ndie mwamba..[emoji28]

ledada ujumbe yesu anakuja tulia sehemu moja..[emoji28]

Shunie ujumbe uache kutafuna vitenge vya shangazi yako..[emoji23]

Mshana Jr ujumbe usigombee hata uenyekiti usije tuharibia taifa kwa tunguli..[emoji12]

rikiboy ujumbe kikao cha mabaharia kitakuwa saa moja jioni,waambie wajumbe wasisahau ile zana..[emoji41]

BAK ujumbe kaa mbali na naniliu..[emoji23]

Bado narudi..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatimae nimekumbukwaaa...!! Nashukuru mkuu
 
natuma salamu kwa
1) livingstone lusinde
2) msukuma
3)goodluck mlinga
4) mbunge kessy
5)mbunge bwege

ujumbe: bunge litamiss ujinga wenu sana, asante.
 
1. Mshana Jr- muungwana na bonge la shock absorber, nakukubali sana
2. Pascal Mayala - mwandishi mkongwe, anayejua anachokifanya, wengi huwa hatukuelewi naamini utarudi kwenye reli mkuu.
3. Madame B- mmoja wa wadada ninaowakubali ingawa hatufahamiani, umepotea sana. Very smart lady and very humble.
4. Sky Eclat- mwanaharakati wa ukweli
5. Erythrocytes- Siasa ndani ya damu, akili kubwa
 
Thanks dear friend sijui hata niseme nini yani ubarikiwe sana rafiki wamie. Asante sana kunikumbuka Karibu tuendelee kusherekea sikukuu mamy!

Cc Smart911
Lol. Nimekumbuka mambo ya redio Tanzania.

1. Mzee mwenzangu Sesten Zakazaka akiwa kule Siasani.

2. Rafiki wa mie Numbisa akiwa kule wanakokulaga likes.

3. Kaka yangu DellaPina akiwa humu humu.

4. Swahiba Mgagaa na Upwa akiwa kule kwenye Battle la Tanzania na Kenya.

5. Mdogo wa mie ukhuty huyu akiwa huko kunakomfanya awe adimu siku hizi bila kumsahau Rafiki mahondaw akiwa na shem Smart911.

Ujumbe:- Najua sijachelewa karibuni sana huku madongo kuinama tuimalizie sikukuu wandugu. [emoji120] Karibuni mnoo. [emoji120]
 
Back
Top Bottom