Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

Tumaini Kweka asihusishwe na mashitaka kwa Sabaya

Uko sahih Kuna ukabila Sana ktk hi kesi

Baada ya sabaya kupangua kesi kubwa ile ya unya nganyi wamekata Moto wachaga wote sas wanasubiri kesi ya pili ya mroso na wamesikia kuwaj jamaa ataachiwa pia sas wamemkimbiza Moshi ili kusud jamaa akichomoa kesi hyo awe na kesi nyingine

Ni kweli sabaya ananidai laki Saba ila simuombee kufungwa ila kweka anataka kuwafurashisha ndugu zake tu
Shukran ndugu. Wewe umekua muungwana na mkweli. Hawa jamaa zetu wamachame hakika wamekua kama wale wayahudi waliopiga kelele mbele ya pilato kwamba yesu asulubiwe. Licha ya pilato kuwaambia 'silioni kosa la mtu huyu' walipiga kelele 'msulubishe msulubishe' tutolee barnaba (mbowe). Wayahudi wakaende mbele zaidi kusema damu ya yesu na iwe juu yao.
 
Watu wanaoongoza kwa kumchukia Sabaya ni wale mabwanyenye wa Hai na wafuasi wao.

Watu hao wengi walifurahia kufa Magufuli na ndio waliyomfitini Sabaya kwa Samia na yeye kuafiki kumtimua na kumtupa Sabaya lupango kwa kumpa kesi ya mchongo.

Licha ya Mahakama ya Rufaa kumuona Sabaya hana hatia na kumtoa kifungoni hawa jamaa wenye asili ya Hai hususan wamachame wana donge sana na Sabaya na wamemfungulia tena kesi ileile aliyoshinda rufaa kwenye Mahakama ya Moshi..

Ninachotaka kuonya chini ya huu utawala wa Samia kama jamii itaruhusu huu utamaduni wa kulipiza kisasi kwa kumzulia aliyekuwa mteule wa Rais mashtaka ya uongo bila shaka tutafika pabaya.

Mwendesha mashitaka Tumaini Kweka kwa jina anaweza kuhusishwa kama mwenyeji wa Hai. Kuna shaka anatumiwa na wenyeji wa Hai wenye chuki na Sabaya kwa ushupavu wake kudhibiti vitendo vya ufisadi na dhuluma dhidi ya wanyoge kwenye wilaya hiyo na pia kufanikisha jimbo hilo kutwaliwa na ccm kwenye uchaguzi 2020.

Ili kuondoa shaka kuhusu tumaini kweka kutumika dhidi ya Sabaya ingefaa mwendesha mashtaka mkuu kumuondoa tumaini kweka kuhusika na mashtaka dhidi ya Sabaya.
Utamaduni upi unauongelea??kulipiza visasi??ili usilipiziwe visasi, tenda wema!!what goes around always comes around!!thats the principle aka KARMA
 
Bwana yenu Sabaya Kesi imeahirishwa mpaka tarehe 20,hivyo leo anarudishwa Arusha Jela ya Kisongo ili kusubiria Hukumu yake ya tarehe 10 ambayo iwe jua iwe mvua lazima agongwe miaka 30 Jela,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unajua unacho ongea?. Leo wachaga ndio wanafungua kesi?. Anayefungua kesi ni Jamhuri. Ingekuwa rahisi hivyo makonda angekuwa tayari kafunguliwa kesi.
Hamjiamini hadi kuhakikisha kesi upande wa jamhuri inasimamiwa na tumaini kweka mmachame. Mayahudi tu nyie. Mnataka asulubiwe kulipiza kisasi kutokana kudhibiti ufisadi magendo hadi mfalme wenu mbowe kapoteza jimbo kwa ccm.
 
Naamini Bwana KMBWEMBWE umeona ule mnundu wa Jambazi Sabaya kisogoni,sasa mkunduni mwake ndio kuna minundu zaidi na shimo kubwa maana masela wa Gereza la Kisongo Arusha walikwandua marinda yote,masela wa Gereza la Karanga Moshi juzi wameambulia shimo tu *****,na Hukumu yake ya tarehe 10 keshokutwa lazima agongwe miaka 30 Jela Jambazi yule mamamamaee,na mwambieni asiishie kumwaga machozi tu kizimbani kama vipi avue Suruali anye MAVI kabisa tuelewe moja mamamamaee,anakula JEURI yake
Hapo unaona umeandika cha maana?
Hamuwezi kusema kisa cha kweli kumchukia sabaya kwa sababu kosa lake ni kusimamia sheria na taratibu wakati nyie mnapenda magendo na biashara haramu. Wenye pesa ndio wanasujudiwa kutokana na ubabe kwa wanyonge.
 
Hapo unaona umeandika cha maana?
Hamuwezi kusema kisa cha kweli kumchukia sabaya kwa sababu kosa lake ni kusimamia sheria na taratibu wakati nyie mnapenda magendo na biashara haramu. Wenye pesa ndio wanasujudiwa kutokana na ubabe kwa wanyonge.
Bwana KMBWEMBWE,kwa hiyo kuvamia Hotel ya watu usiku kumtafuta Nandy tena akiwa ameweka gari binafsi namba za UN ni kusimamia Sheria enh!!!kufoji Kitambulisho cha Idara ya Usalama wa Taifa ni kusimamia Sheria na Taratibu enh!!eti akajiita UNDER COVER mwenyewe[emoji1787][emoji38]!!maana mpaka TISS wenyewe walitoa tamko kumkana kwamba sio Mtumishi wao,lakini wewe kwa akili zako za makalioni unasema alikuwa anasimamia Sheria na Taratibu!!!afanye huo u- UNDER COVER wake Jela sasaView attachment 2255073
Screenshot_20220607-185540.jpg
Screenshot_20220607-191931.jpg
 
Bwana KMBWEMBWE,kwa hiyo kuvamia Hotel ya watu usiku kumtafuta Nandy tena akiwa ameweka gari binafsi namba za UN ni kusimamia Sheria enh!!!kufoji Kitambulisho cha Idara ya Usalama wa Taifa ni kusimamia Sheria na Taratibu enh!!eti akajiita UNDER COVER mwenyewe[emoji1787][emoji38]!!maana mpaka TISS wenyewe walitoa tamko kumkana kwamba sio Mtumishi wao,lakini wewe kwa akili zako za makalioni unasema alikuwa anasimamia Sheria na Taratibu!!!afanye huo u- UNDER COVER wake Jela sasaView attachment 2255073View attachment 2255074View attachment 2255075
Gari binafsi lakini UNDER COVER Sabaya kabandika namba za UN[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220607-185626.jpg
 
Back
Top Bottom