kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
- Thread starter
- #41
Shukran ndugu. Wewe umekua muungwana na mkweli. Hawa jamaa zetu wamachame hakika wamekua kama wale wayahudi waliopiga kelele mbele ya pilato kwamba yesu asulubiwe. Licha ya pilato kuwaambia 'silioni kosa la mtu huyu' walipiga kelele 'msulubishe msulubishe' tutolee barnaba (mbowe). Wayahudi wakaende mbele zaidi kusema damu ya yesu na iwe juu yao.Uko sahih Kuna ukabila Sana ktk hi kesi
Baada ya sabaya kupangua kesi kubwa ile ya unya nganyi wamekata Moto wachaga wote sas wanasubiri kesi ya pili ya mroso na wamesikia kuwaj jamaa ataachiwa pia sas wamemkimbiza Moshi ili kusud jamaa akichomoa kesi hyo awe na kesi nyingine
Ni kweli sabaya ananidai laki Saba ila simuombee kufungwa ila kweka anataka kuwafurashisha ndugu zake tu