Anasema Chadema waliweka mashada ya maua!
Kwenye kaburi la huyu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema Chadema waliweka mashada ya maua!
Akina mama mnapenda sn umbeaChadema ni mali ya umma na watumishi wake kadhalika!
Hatari snKwani aliyekwambia Chadema wataunga mkono juhudi zq shamra shamra za Chatto jana anasema je?
Hatari sn
Hahahaaaa...... Vipi ya leo? Kali??Akina mama mnapenda sn umbea
Hatari snWakiikumbuka Chadema hawana hamu.
Wanaifuatilia Chadema kuliko wafuasi wake 😁😁.
Hiiiiii bagosha!
Juzi umepata kazi Katoro nako umefukuzwa sababu ya vinywajiHahahaaaa...... Vipi ya leo? Kali??
Niletee lita 5Juzi umepata kazi Katoro nako umefukuzwa sababu ya vinywaji
Akina mama wenzio hawapo hivyoNiletee lita 5
Nasikia ndizi zimekuwa adimu!Akina mama wenzio hawapo hivyo
We pimbi mbona unashoboka na mambo ya chadema,Tokea mke wake awe mbunge na yeye kawa kimya!
Yupo wapi huyo msemaji wa chama cha Chadema?
Demokrasia ni kuvumiliana na sio kutukanana.....We pimbi mbona unashoboka na mambo ya chadema,
Umelitambua hilo baada ya godfather wenu kufa?Demokrasia ni kuvumiliana na sio kutukanana.....
Mke wake ni nani? Tuanzie hapo kupata mjadala na kumbukumbu sawaTokea mke wake awe mbunge na yeye kawa kimya!
Yupo wapi huyo msemaji wa chama cha Chadema?
yule mke wake aliyekuja kuwa mbunge alikuwa bar maid pale meeda anaitwa suzanne ,duh aisee chadema ile sikutarajia kama hata Dr slaa angebariki madudu yale
Mtu mmoja alijiita Jiwe naye hajasikika muda mrefu, yuko wapi?Hajasikika kwa muda mrefu huyu mwanasiasa nguli ambaye wengi humfananisha na Tundu Lissu awapo mbele ya media akiongelea maamuzi mbalimbali ya CHADEMA.
Yuko wapi Kamanda Tumaini Makene?
Jumaa kareem