KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Simaanishi vile unavyokusudia kwenye nafsi yako bali vile ilivyo machoni mwako.....Umelitambua hilo baada ya godfather wenu kufa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simaanishi vile unavyokusudia kwenye nafsi yako bali vile ilivyo machoni mwako.....Umelitambua hilo baada ya godfather wenu kufa?
Amehamia CCM, furahi basiHajasikika kwa muda mrefu huyu mwanasiasa nguli ambaye wengi humfananisha na Tundu Lissu awapo mbele ya media akiongelea maamuzi mbalimbali ya CHADEMA.
Yuko wapi Kamanda Tumaini Makene?
Jumaa kareem
Unataka kumteka maana mmekubuhu kwa upotezaji watuKheri tupu bwashee.
Yule Benson anaongea kama anafoka tofauti na kamanda Makene!
Yuko UDOM anachukua PhD[emoji16][emoji16][emoji16]Kheri tupu bwashee.
Yule Benson anaongea kama anafoka tofauti na kamanda Makene!
Kwa swali hilo inaonekana upo mbali sana na mambo ya cdm.Hajasikika kwa muda mrefu huyu mwanasiasa nguli ambaye wengi humfananisha na Tundu Lissu awapo mbele ya media akiongelea maamuzi mbalimbali ya CHADEMA.
Yuko wapi Kamanda Tumaini Makene?
Jumaa kareem
Asije akawa ni kati ya wasiyo julikanaKumtafuta kwako ni kwa kheri?
Ni mwanakijani bila shaka japo anapenda chadema sana, sijui wanakijani wenzie wanamtisha anashindwa kufanya uamuzi huru?Kwa swali hilo inaonekana upo mbali sana na mambo ya cdm.