Existentialist
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 554
- 377
Najua kwa namna moja au nyingine ntawakela ila ujumbe utakuwa umefika!!!
Wahitimu wengi wanaotoka Tumaini & CBE universities wanaendekeza njaa kwan wamekuwa wanakubali mishahara midogo hasa wanapokua kwenye salary negotiation!!!!
Matokeo yake hii inawafanya waajiri wengi kuacha kuchukua vijana kutoka vyuo vingne hasa UDSM, Mzumbe & IFM kwa kudai kuwa wanapenda mishahara mikubwa!!!!
Chonde chonde ndugu zanguni acheni kuendekeza njaaa!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wahitimu wengi wanaotoka Tumaini & CBE universities wanaendekeza njaa kwan wamekuwa wanakubali mishahara midogo hasa wanapokua kwenye salary negotiation!!!!
Matokeo yake hii inawafanya waajiri wengi kuacha kuchukua vijana kutoka vyuo vingne hasa UDSM, Mzumbe & IFM kwa kudai kuwa wanapenda mishahara mikubwa!!!!
Chonde chonde ndugu zanguni acheni kuendekeza njaaa!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums