Tumalize Ubishi hapa: Ipi bora kati ya Chama kubaki Simba au kwenda Yanga?

Tumalize Ubishi hapa: Ipi bora kati ya Chama kubaki Simba au kwenda Yanga?

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Salaam Wakuu,

Kama ilivyo ada inapofika mwisho wa msimu baadhi ya Wachezaji pia humaliza mikataba na timu zao, Miongoni mwa Wachezaji waliomaliza mikataba yao kwa nchi yetu ni Cloatus Chota Chama ambaye kwa sasa anakipiga mitaa ya Msimbazi Kariakoo.

Kutokana na umahiri wa mchezaji huyu, imekuwa kawaida kuwepo kwa tetesi nyingi kumuhusu. Kwa sasa zipo tetesi kwamba Yanga wameweza kumshawishi aende kuwatumikia huku tetesi nyingine zikidai anabaki Simba.

Wewe kama mdau wa soka ukiachana na utimu, unafikiri lipi jambo litakuwa na manufaa kwa timu na kwa mchezaji kati ya yeye kubaki Simba au kwenda Yanga?

Tupia madini yako hapa

1716833938807.jpeg
 
Salaam Wakuu,

Kama ilivyo ada inapofika mwisho wa msimu baadhi ya Wachezaji pia humaliza mikataba na timu zao, Miongoni mwa Wachezaji waliomaliza mikataba yao kwa nchi yetu ni Cloatus Chota Chama ambaye kwa sasa anakipiga mitaa ya Msimbazi Kariakoo...
Mfano mzuri ni Mkude kwakutumia akili mnembo Chama akienda yanga itakuwaje?................
 
Aende Uto, tutawakalisha na yeye yumo - tunajia madhaifu yake yapo wapi.
 
Ile Mi assists kule Yanga ampe nani?

Mzize? Huyu anayejigonga gonga kila siku?
 
Back
Top Bottom