Tumalize ubishi leo, White house na Kremlin ni Ikulu gani ya kijanja?

Tumalize ubishi leo, White house na Kremlin ni Ikulu gani ya kijanja?

Tusio penda marangi ya kung'aa, white house imekaa vizuri, wabunifu wake walitulia darasani.
 
Kimaamuzi au ki nakshi, kama kinakshi Russia wapo vizuri sababu katika watu wanaoongoza kwa kazi za mikono china wapo vizuri sasa China na Russia ni kama mtu na nduguye, ila tukija kimaamuzi magumu ya kisiasa nadhani jibu mnalo.
Jibu hatuna, tupe majibu
 
hahah mkuu kumbe na wewe umona hilo. halafu ikulu ya kremlini ni kubwa mno na imetengenezwa kwa vito vya gharama sana na ni ya muda mrefu sana toka mwaka 1700
Ha ha ha nimeona mkuu...kuna mtu dali lake la ikulu ikipigwa mvua inashuka kwa uzito[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Lwangu mimi sipendi kutumiaga vitu vya thamani sana.
Mm hiyo mm hiyo white house naona iko poa.
 
Kimanthali ya kiofisi (office's concentration) kama sehemu inayotoa maamuzi yaliyojadiliwa kwa kina na kufikiwa muafaka White House ipo juu, hiyo ya Urusi imekaa kistarehe na ufahari zaidi, sehemu ambayo maamuzi ya gafla bila kujadiliwa kwa kina hufikiwa.
Mazingira unayoishi hudhihiirisha ukiwazacho
 
Duh yetu mh hapo kuna vitu kibao had inapoteza ule mvuto . inabid iwe na mpangilio mzur aiseee[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Halafu kwa nyuma kama kuna kamlango ka dharura ukichoka unaenda kujipumzikia
 
Back
Top Bottom