Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu hatuna, tupe majibuKimaamuzi au ki nakshi, kama kinakshi Russia wapo vizuri sababu katika watu wanaoongoza kwa kazi za mikono china wapo vizuri sasa China na Russia ni kama mtu na nduguye, ila tukija kimaamuzi magumu ya kisiasa nadhani jibu mnalo.
Orthodox ni Eastern Catholic -tofauti ni moja tu...kuwa papa wa Rome ni 2nd Leader....kwani hujui orthodox ndo kila kitu urusi
Ha ha ha nimeona mkuu...kuna mtu dali lake la ikulu ikipigwa mvua inashuka kwa uzito[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]hahah mkuu kumbe na wewe umona hilo. halafu ikulu ya kremlini ni kubwa mno na imetengenezwa kwa vito vya gharama sana na ni ya muda mrefu sana toka mwaka 1700
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Naombeni mnichangie nizitembelee zote mbili kisha nilete mrejesho
Halafu kwa nyuma kama kuna kamlango ka dharura ukichoka unaenda kujipumzikiaDuh yetu mh hapo kuna vitu kibao had inapoteza ule mvuto . inabid iwe na mpangilio mzur aiseee[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
first leader ni nani?Orthodox ni Eastern Catholic -tofauti ni moja tu...kuwa papa wa Rome ni 2nd Leader....
Kwa mara ya kwanza niliishudia ikulu ya Urusi, Putin akiapishwa kuwa rais kwa mara ya kwanza. Nilipigwa na butwaa!Kuna sehemu pana udhahabu kinoma