Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wakuu leo nataka tumalize ubishi unaoendea kati ya hawa vinyori nyori vigoli watoto wa uswazi /wapenda miguu ya kuku na mihogo ya kukaanga chipsi yai kwao ni haramu[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hao vinyori vyori si wengine bali ni Tatu Kipepe/Tatu Mzaramu mimi napenda kumuita Tatu vijora au mkojo wa ngedere na huyu mwanadada asiyekuwa na mpinzani linapokuja suala zima la kubeba uhalisia hasa wa kuliakwenye kideo/filamu/tamthilia hapa namzungumzia Riyama Ally
Yupi hapo anachamba sana kuliko mwengine ?
Maana huko Insta naona kumeibuka ubishani mkubwa kuhusu hawa watu wawili.
Mkojo wa ngedere.
Riyama Ally.
Hao vinyori vyori si wengine bali ni Tatu Kipepe/Tatu Mzaramu mimi napenda kumuita Tatu vijora au mkojo wa ngedere na huyu mwanadada asiyekuwa na mpinzani linapokuja suala zima la kubeba uhalisia hasa wa kuliakwenye kideo/filamu/tamthilia hapa namzungumzia Riyama Ally
Yupi hapo anachamba sana kuliko mwengine ?
Maana huko Insta naona kumeibuka ubishani mkubwa kuhusu hawa watu wawili.
Mkojo wa ngedere.