Tumalize ubishi;Mkojo wa Ngedere Vs Riyama Ally nani bingwa wa kuchamba

Tumalize ubishi;Mkojo wa Ngedere Vs Riyama Ally nani bingwa wa kuchamba

hivi wewe huwa ni dume au jike?maana umekaa kikike kike sana
Dogo unakoelekea siko kabisa, mtoto wa kiume unaanzaje kuanzisha mada kama hii? Au we ni 'MTOTO' halua halua
Wengine wanaonekana wanaume kwa nje tu kwa ndani hormones zinawafurukuta.
Jamaa mada zako zote huwa ni za kidada dada!
Mleta mada wewe ni he or she??
Fani hizi waachie wenyewe wakina sisters..
Ila yaonekana ana wafuasi wengi.
 
Riyama ni level nyingne kabisa ...yan akiwa anamchamba mtu unabak kucheka tu anajua kupangilia maneno huyo mkojo wa ngedere yy anabwabwaja tu
 
Back
Top Bottom