Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Jamaa mada zako zote huwa ni za kidada dada!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeDogo unakoelekea siko kabisa, mtoto wa kiume unaanzaje kuanzisha mada kama hii? Au we ni 'MTOTO' halua halua
heMleta mada wewe ni he or she??
Tupe tupe vitu hance wa tunda, kama wao sio wana mambo ya kidada jukwaa hili wanaijia nini
hivi wewe huwa ni dume au jike?maana umekaa kikike kike sana
Dogo unakoelekea siko kabisa, mtoto wa kiume unaanzaje kuanzisha mada kama hii? Au we ni 'MTOTO' halua halua
Wengine wanaonekana wanaume kwa nje tu kwa ndani hormones zinawafurukuta.
Jamaa mada zako zote huwa ni za kidada dada!
Mleta mada wewe ni he or she??
Ila yaonekana ana wafuasi wengi.Fani hizi waachie wenyewe wakina sisters..
Ila huyo manzi (Tatu mzaramu) anaongea kichizi kama cherehani vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Riyama hana mpinzani katika hilo
Achana nao mkuu maboya tu haoIla yaonekana ana wafuasi wengi.
SawaStupid!
Wacheki hata insta mkuuMimi nadhani ungeweka video zao ili sisi wanaume wa mkoani tuwapambanishe
Aisee
Insta ndio nini mkuu? Unadhani watu wote wapo huko insta?Wacheki hata insta mkuu