Edson Carrington
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 216
- 636
Mada gani mattercall weweee!Tujikite kwenye mada mkuu, Kisinda ni level ya juu sana ukilinganisha na hawa vijana wawili.
Upo sahihi mkuu, Moloko yupo faster sana pale timu inapokuwa ina umiliki wa mpira pia yupo haraka kucover position na huwa ni mbaya zaidi anapotokea kushoto, Nguvu ya Chama ipo katika mipenyezo, yaani anasubiri mipira ya mipenyezo ili aweze kufunga goli na anao uwezo wa kufunga katika hali ngumu kwa sababu huwa anabutua tu bila kudrive mpira.Kuna kijiwe hapa Wana discuss wanasema eti
Kuna mmoja hapo uchezaji/performance inategemea wamekutana na mpinzani gani na timu Yao inachezaje, wanaongezea kwa kusema mara nyingi ata perform vizuri na kuonekana pale mpinzani wao akiwa dhaifu na kazidiwa kila kitu na timu yake lakini wakikutana na timu ambayo imewa-dominate mwamba uwa anapotea mazima, wamesema na ushaidi wa mechi wanao kama mnataka.
Then kwa huyo mwingine acceleration yake na speed yake imekua ni nguzo imara kwa timu yake aswa kwenye ku-break backline ya wapinzani, wanaongezea uwezo wake wa ku-sprint unaisaidia sana timu yake na tofauti yake na huyo wa mwanzo ni kwamba Hata timu yake ikiwa Haina mpira/imetawaliwa na mpinzani uwa anaisaidia sana timu yake wakati wa counter attacks.
Ngojeaa niendelee kusikiliza soga zao.
Kolo wewe ,utaolewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukikatwaa wee inatoshaa
Ni kweli mana game Vs As vita ilkua dhaifu game Vs nkane Game vs gendamarine Vs uto 4_1 zote zilikua easy game kwa lunyasiKuna kijiwe hapa Wana discuss wanasema eti
Kuna mmoja hapo uchezaji/performance inategemea wamekutana na mpinzani gani na timu Yao inachezaje, wanaongezea kwa kusema mara nyingi ata perform vizuri na kuonekana pale mpinzani wao akiwa dhaifu na kazidiwa kila kitu na timu yake lakini wakikutana na timu ambayo imewa-dominate mwamba uwa anapotea mazima, wamesema na ushaidi wa mechi wanao kama mnataka.
Then kwa huyo mwingine acceleration yake na speed yake imekua ni nguzo imara kwa timu yake aswa kwenye ku-break backline ya wapinzani, wanaongezea uwezo wake wa ku-sprint unaisaidia sana timu yake na tofauti yake na huyo wa mwanzo ni kwamba Hata timu yake ikiwa Haina mpira/imetawaliwa na mpinzani uwa anaisaidia sana timu yake wakati wa counter attacks.
Ngojeaa niendelee kusikiliza soga zao.
Tujikite kwenye mada tafadhaliMada gani mattercall weweee!
Unajikuna matacorn halafu unanusa!!
Yaani unamshindanisha Chama na uchafu,
Nadhani umemaliza kila kitu! Upo sahihi kabisa.Thinking capacity brain ya chama sio ya kawaida hata akiwa Hana mpira .kiufupi huwezi kuwaza chama atafanya Nini akipata mpira.speed yake ni kama ya Kobe mzee.Chama atakubeba timu ikiwa inamiliki mpira tofauti na hapo ni Christian ronaldo aliyepoa.moloco kwenye kukaba atakupa kitu , speed atatukapa kitu, kwenye energy atakupa kitu na kwenye kusachi beki za timu pinzani Kuna kitu utaona
Duh!,wenye kuujua mpira hii comment wanabaki wanashika vichwa.Tujikite kwenye mada mkuu, Kisinda ni level ya juu sana ukilinganisha na hawa vijana wawili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaaahTujikite kwenye mada mkuu, Kisinda level yake ni ya juu sana, hapa tunawazungumzia hawa makinda chama na mchezaji Moloko.
Ukiolewaa wee inatoshaaa, sio kila mtu anataka bwana.Kolo wewe ,utaolewa
Hii sasa zereu.Ficha ujinga wako.Hamna mchezaji Yanga wa kumfananisha na Tripple C.
Achan nae mchumba.Ukiolewaa wee inatoshaaa, sio kila mtu anataka bwana.
Tafuta kivyakooo, mie sio Kuwadi. Poleeeeeeee
Duh!,wenye kuujua mpira hii comment wanabaki wanashika vichwa.
Tujikite kwenye uchambuzi na uhalisia tafadhaliYanga na sisi tumezid ujinga hivi hata Kama hujui mpira kweli unaweza weka mizania sawa Kati ya Chama na mokoko???. Kuna nyakati chama apewe haki yake Bila kujali ushabiki. Chama kwa Sasa haihitaji kushundanishwa na wachezaji wa NBC tena hana ambacho hajafanya. Moloko linganisha na kina Kibu,Peter Banda,sakho.
Tujikite kwenye uchambuzi tafadhaliAcha ujinga