Kuna kijiwe hapa Wana discuss wanasema eti
Kuna mmoja hapo uchezaji/performance inategemea wamekutana na mpinzani gani na timu Yao inachezaje, wanaongezea kwa kusema mara nyingi ata perform vizuri na kuonekana pale mpinzani wao akiwa dhaifu na kazidiwa kila kitu na timu yake lakini wakikutana na timu ambayo imewa-dominate mwamba uwa anapotea mazima, wamesema na ushaidi wa mechi wanao kama mnataka.
Then kwa huyo mwingine acceleration yake na speed yake imekua ni nguzo imara kwa timu yake aswa kwenye ku-break backline ya wapinzani, wanaongezea uwezo wake wa ku-sprint unaisaidia sana timu yake na tofauti yake na huyo wa mwanzo ni kwamba Hata timu yake ikiwa Haina mpira/imetawaliwa na mpinzani uwa anaisaidia sana timu yake wakati wa counter attacks.
Ngojeaa niendelee kusikiliza soga zao.