Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
watu awajikiti kwenye mada kwasababu vipimo vyako ulivyoleta ni famba.Tujikite kwenye uchambuzi na uhalisia tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu awajikiti kwenye mada kwasababu vipimo vyako ulivyoleta ni famba.Tujikite kwenye uchambuzi na uhalisia tafadhali
Achan nae mchumba.
Asikuumize kichwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaaah
Tujikite kwenye uchambuzi tafadhaliMwisho wa siku mje mumshindanishe chama vs mwiko wenu kule nyuma kumbaaaaaaffffff
Kwanini mkuu, ina maana Moloko anamzidi Chama kiasi kwamba ni kosa kuwalinganisha na kuwafanyia uchambuzi? Kwani Moloko anacheza PSG kwamba hatakiwi kulinganishwa na makinda wengine? Tujaribu kuwa fairwatu awajikiti kwenye mada kwasababu vipimo vyako ulivyoleta ni famba.
Kwa hiyo Moloko kuwa kwenye club inayoongoza Ligi na makundi Afrika ni makosa? Mbona hata chama anajitahidi kwa kiasi chake.Moloko na Chama ni mbingu na ardhi ndio maana unaona uzi hauna mvuto.
wachangiaji wanaleta uchale kwenye uzi wako kwasababu uzi wenyewe ni uchale tu😅😂
Moloko anatisha alishawai kupiga chenga timu nzima mpaka uwanja ukijikunja kwa makasiriko😂😅Kwa hiyo Moloko kuwa kwenye club inayoongoza Ligi na makundi Afrika ni makosa? Mbona hata chama anajitahidi kwa kiasi chake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mkiamka mnamuwaza mume wenu Chama. Safari hii atawatia mimba kila mmoja mkakutane naye wodi ya wazazi
Jikite kwenye mada mkuu unawachambuaje wachezaji hawa?Uchambuzi wa mpira ni taaluma sio kila Tom and Dick ana uwezo wa kutambua hilo.Ila kuna commonsense pia ikiwa haitumiki ni kosa kubwa.
Tujikite kwenye mada tafadhaliKila mkiamka mnamuwaza mume wenu Chama. Safari hii atawatia mimba kila mmoja mkakutane naye wodi ya wazazi
Kuna mada hapo?Tujikite kwenye mada tafadhali
Unawazungumziaje na unawalinganishaje wachezaji hawa wawili katika soka, Yupi zaidi?Kuna mada hapo?
😄😄😄Nilijua ww ni roboti na ile comment yako kwenye nyuzi zinazohusu Simba....maana huwa haibadilki... 😆 😆