Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii ni kweli kabisa. Tatizo kubwa la kudindisha ni diabetes 2. Na wanadai ni ngumu kuireverse erection hata ukijaribu kucontrol blood sugar. Kwasababu diabetes inaharibu exsisting blood cells na nerves damage.Diabetes in the making.
Kudindisha mtapasikia mitandaoni.
🤣😄😄 Mkojo mkubwa au mdogo?
Mirindamarinda
Aaaah mkuu acha kupitezea ni marindaMirinda
Ukisha jua,au tukisha jua tutapata/utapata manufaa yapi?Tumalize Utata, soda ipi pendwa na nzuri zaidi kati ya Pepsi na Coca-cola View attachment 2478158View attachment 2478159
hapana mimi situmii TigoAaaah mkuu acha kupitezea ni marinda
Vyanzo/vichochezi vya visukari🤔Denied beverage
Mpango mzima bieer,haina gogoro na ntu.au afya yake sharti tu ni kutotaka kumkomoa bieer🥛🥃🍺,🤸🤸🤸Mpango mzima huo hapo huniambii kitu upate ya baridii
View attachment 2478210
Mpango mzima ni kitu,bieer🍺Pepsi ya baridi nadhani ni soda namba moja duniani! Uipate imetoka kwa friji ina ule mvuke wa barafu!
Acha tu yaani....View attachment 2478214
Vipi hii kitu imeteka wapi🍺🥃🥃🥛🤔Hizo soda zinanyweka kikanda coca cola wameteka zaidi masaki,msasani,kawe,mbezi beach,tegeta, osterbay,mpka posta.
Pepsi wapo zaidi mbagala,gongo la m boto,temeke,k/koo,vingunguti,buguruni .
Kwa mikoani coca cola ameteka zaidi soko
Wana JF nendeni huko, hivi mnajua pisi za Spanish zilivyo kali?Mkuu hii ni kweli kabisa. Tatizo kubwa la kudindisha ni diabetes 2. Na wanadai ni ngumu kuireverse erection hata ukijaribu kucontrol blood sugar. Kwasababu diabetes inaharibu exsisting blood cells na nerves damage.
Mji flani huko mexico imewahathiri sana wanaume kudindisha kwa kupata diabetes 2 kwa unywaji wa hovyo na wa coca-cola na kupindukia.
Matangazo nayo huwa yanasaidia sana watu kubadili mitazamo Yao Kwa sasa diamond plutnamz ameifanya Pepsi iuzike Zaidi na kuicha mbali coka, kumbuka miaka ya nyuma alikuwa balozi WA coka Pepsi nazo zilipotea na hazikuwa na Jina.Tumalize Utata, soda ipi pendwa na nzuri zaidi kati ya Pepsi na Coca-cola View attachment 2478158View attachment 2478159
Kamnyweso haina mpinzani soda inasubiri hapoVipi hii kitu imeteka wapi🍺🥃🥃🥛🤔