Tumalizie charge kwa kutaja nyimbo za kibongo 5 ambazo ni "TIMELESS"

Tumalizie charge kwa kutaja nyimbo za kibongo 5 ambazo ni "TIMELESS"

1.Mzimuni Family ft Q Chief-mpiga debe/fani katika maisha
2. Pig black -Nini mnataka mazee
3.Prof Jay ft Fanani- Chemsha bongo
4.Prof Jay ft Nature & Babu Ayubu- Ndio mzee
5.Langa Kileo -Matawi ya juu

Bonus Kimbia...humo ndani kuna wasanii kibao
 
Nimekuchagua Wewe ya Bob Rudala hii ni zaidi ya timeless ni exceptional, undisputed, magnificent etc

Top Ten
Starehe - Ferooz
Tamaa Mbaya - 20%
Bongo Dar - Prof Jay
Dar Stand Up - Chid Benz
Tabasamu - Mr Blue
Dar Mpaka Moro - Tmk Family
Rita - Marlaw
Anitha - Matonya
Awena - Kassim Mganga
Yalaiti & Mfalme- Mwanafa

Bonus
Tuma - Best Naso
Ridhiwani - Izzo Bizness
 
Top Ten
Starehe - Ferooz
Tamaa Mbaya - 20%
Bongo Dar - Prof Jay
Dar Stand Up - Chid Benz
Tabasamu - Mr Blue
Dar Mpaka Moro - Tmk Family
Rita - Marlaw
Anitha - Matonya
Awena - Kassim Mganga
Yalaiti & Mfalme- Mwanafa
Wapi MB Dog
 
1. Anitha Matonya
2. Mac Mugga Ali Kiba
3. Kamwambie Diamond
4. Silali Rich Mavoko
5. Sumu ya penzi Belle 9
yaonyesha we bado mtoto sana maana humjui hata bi fatma!
 
Naona Tanesco leo karibia nchi nzima wameamua kufanya yao hadi usiku huu. Najua simu zitakuwa zimebaki 8%.

Anyway, huwa kuna nyimbo chache za zamani ambazo zikipigwa hata leo unapata vibe ambayo haichuji.

Zangu ni:

■Seya ya papii na nguza
■naksh naksh ya kiba
■she got a gwan ya ngwair
■kimya kimya ya jay mo
■mapenzi ni kitu gani ya mb dogg

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
1.Unataka nini ya Jafari
2. Boss ya Ferouz
3. Starehe ya Ferouz
4. Kamanda ya Daz Nundaz
5. Sauti ya Manka ya GK
6. Mtoto Iddi ya J Nature.
7. Zali la Mentali ya Prof J
 
Nimekuchagua Wewe ya Bob Rudala hii ni zaidi ya timeless ni exceptional, undisputed, magnificent etc

Top Ten
Starehe - Ferooz
Tamaa Mbaya - 20%
Bongo Dar - Prof Jay
Dar Stand Up - Chid Benz
Tabasamu - Mr Blue
Dar Mpaka Moro - Tmk Family
Rita - Marlaw
Anitha - Matonya
Awena - Kassim Mganga
Yalaiti & Mfalme- Mwanafa

Bonus
Tuma - Best Naso
Ridhiwani - Izzo Bizness
Kaka Naona ulikuwa unaisoma Mind yangu kama ilivyo.

Lakini funga kazi kabisa ni

We RizOne- Izzo Bussness alifunga Kazi ya Usanii.

Mpaka leo hakuna mtu amemfikia tena kiwango kikubwa vile.
 
Kilwa Jazz - Nipate Lau Nafasi
Mbaraka Mwinshehe - Shida
Mbaraka Mwinshehe - Mtaa wa Saba
Jamuhuri Jazz - Shingo ya Upanga
Marijani Rajabu - Zuwena
Remmy Ongala - Kifo
1. Kaza Moyo- Ottu Jazz Band
2. Kasuku- Les Wanyika
3. Shingo ya Upanga- Les wanyika
4. Nawashukuru Wazazi- Orchestra Jazz
5. Queen Kase- Ottu Jazi kwa hivi karibuni Ikiitwa Msondo Ngoma
 
1. Rangi ya Chungwa by Serengeti Band.
2. Dodoma ya Watanzania by Remmy Mtoro Ongala.
3. Kamanda by DAZ NUNDAZ
Dodoma by Super Matimila, mtunzi na msimbasi NI Cosmos Chidumule.

Matimila ni band ya Dr Remmy Ongala.
 
Back
Top Bottom