Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

Last edited by a moderator:
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani

mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli

msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine


Pole dia

Vipi diet unafanya?
 
Last edited by a moderator:
kuna mama mmoja alikuwa na tumbo na weigh balaa.....kutoka 104 kilo

sa hivi ana 84.ni mtu wa mazoezi yeye hali wali wala ugali.akila ni siku moja moja

ndizi za kuiva nazo hali.....asubuhi anapiga glass ya maji vuguvugu 4.chai hanywi akinywa haina sukari kihivo

yeye anakula matunda sana sana na mboga mboga....chips,vyakula vya kukaangwa mafuta mengi nazo sio poa

ana DIET yake nimemwomba kuna shoga angu nae anasumbuliwa na tumbo + uzito akinipa nitakupa

Heaven on earth ukipewa nitumie na mie nitakupendaje kiwatengu asijeniacha bure
 
Last edited by a moderator:
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani

mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli

msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine
mwallu mwallu mwallu...aliyekuambia una tumbo kubwa nani? Je, umekula tunda la mti wa katikati ulilokatazwa usile?

cc Asprin Heaven on Earth Mentor
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth ukipewa nitumie na mie nitakupendaje kiwatengu asijeniacha bure

halafu seriously shansarie usiku wa kuamkia leo nimekuota sema sikumbuki hasa ilikuwa nini ila sio ndoto mbaya

Ndoto mbaya nimemuota Kapuya kalazwa chini kama Yesu msalabani, anasulubiwa vibaya mno na mwalimu wangu wa zamani:shocked::shocked:
 
Last edited by a moderator:
Kwanza pongezi kwa kugundua kuwa una ugonjwa. Tumbo ni ugonjwa na lina sababisha uzee kwa kasi ya ajabu. Punguza wanga asubuhi kula ushibe mchana kula kidogo na jioni usile kabisa kula matunda tu na ulale. Mazoezi fanya mazoezi ya kukimbia au kutembea kwa miezi 6 tena asubuhi tu. Likishapungua ndip uanze mazoezi ya tumbo.

I like this
 
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani

mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli

msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine
Itakua mimba hiyo!
 
halafu seriously shansarie usiku wa kuamkia leo nimekuota sema sikumbuki hasa ilikuwa nini ila sio ndoto mbaya

Ndoto mbaya nimemuota Kapuya kalazwa chini kama Yesu msalabani, anasulubiwa vibaya mno na mwalimu wangu wa zamani:shocked::shocked:

Hahaha asikusikie mwenye mali shauri yako.
Kapuya sujui kama anapata usinguzi kwakweli bamuhurumia sana amekuwa celebrate bila kupenda
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom