Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

Last edited by a moderator:
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani

mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli

msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine


Pole dia

Vipi diet unafanya?
 
Last edited by a moderator:

Heaven on earth ukipewa nitumie na mie nitakupendaje kiwatengu asijeniacha bure
 
Last edited by a moderator:
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani

mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli

msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine
mwallu mwallu mwallu...aliyekuambia una tumbo kubwa nani? Je, umekula tunda la mti wa katikati ulilokatazwa usile?

cc Asprin Heaven on Earth Mentor
 
Last edited by a moderator:
Heaven on earth ukipewa nitumie na mie nitakupendaje kiwatengu asijeniacha bure

halafu seriously shansarie usiku wa kuamkia leo nimekuota sema sikumbuki hasa ilikuwa nini ila sio ndoto mbaya

Ndoto mbaya nimemuota Kapuya kalazwa chini kama Yesu msalabani, anasulubiwa vibaya mno na mwalimu wangu wa zamani:shocked::shocked:
 
Last edited by a moderator:

I like this
 
Nile vyakula gani ili tumbo langu lipungue yaani lirudie hali ya u flat kama zamani

mazoezi huwa najaribu lakini nashindwa kuendelea nayo kiukweli

msaada juu ya hili maana linanikera sana wakati mwingine
Itakua mimba hiyo!
 
halafu seriously shansarie usiku wa kuamkia leo nimekuota sema sikumbuki hasa ilikuwa nini ila sio ndoto mbaya

Ndoto mbaya nimemuota Kapuya kalazwa chini kama Yesu msalabani, anasulubiwa vibaya mno na mwalimu wangu wa zamani:shocked::shocked:

Hahaha asikusikie mwenye mali shauri yako.
Kapuya sujui kama anapata usinguzi kwakweli bamuhurumia sana amekuwa celebrate bila kupenda
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…