Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

Duuh,mi nazuia kitambi kisije,nifanye nini.maana kama kutembea kwa miguu na tembea sana,maji nakunywa sana,pombe sinywi.mchana siliii kabisa,nakunywa maji tu,ila usiku nakula
 
asante Ablessed
viporo situmii...ngoja nifuatilie huu ushauri naamini nitasaidika
Rafiki pole sana hebu fuata ushauri wa mdau hapo juu huenda utasaidia. Nakumbuka huwa wanasema na vipolo husababisha tumbo kuwa kubwa sijui kama kuna ukweli wowote ngoja wataalamu waje.
 
Last edited by a moderator:
tumeambiwa usiku hakuna kula...ni full vegetables na fruits..ngumu lakini inabidi
Duuh,mi nazuia kitambi kisije,nifanye nini.maana kama kutembea kwa miguu na tembea sana,maji nakunywa sana,pombe sinywi.mchana siliii kabisa,nakunywa maji tu,ila usiku nakula
 
lile tunda bana alikatazwa adamu tu..lolz
ila paroko Kaizer tumbo ninalosumbuliwa nalo halitokani na ulaji wa tunda la katikati..ni vyakula tu

Tunda nalo ni chakula mwallu.........alikatazwa Adamu, ila "yule mwanamke" akampa..so alianza kula mwanamke akampa na Adamu 'aonje'

CC Asprin
 
Last edited by a moderator:
sa mie halitokani na tunda bana
halafu mie mtawa nitalila na nani sasa na masharti yetu wayajua paroko
Tunda nalo ni chakula mwallu.........alikatazwa Adamu, ila "yule mwanamke" akampa..so alianza kula mwanamke akampa na Adamu 'aonje'

CC Asprin
 
wazee wataota ndoto..(Kaizer umeshazeeka?)
vijana wataona maono..bora ungemuonea ono shansarie..
halafu seriously shansarie usiku wa kuamkia leo nimekuota sema sikumbuki hasa ilikuwa nini ila sio ndoto mbaya

Ndoto mbaya nimemuota Kapuya kalazwa chini kama Yesu msalabani, anasulubiwa vibaya mno na mwalimu wangu wa zamani:shocked::shocked:
 
Last edited by a moderator:
siasani hata siendi
na natamani nichukue mafunzo ya upishi..kaaz kwelikweli
ni rahisi tu msiwe mnakuja jukwaa letu la JF Chef mbona litaishi na uwe unashinda siasa lazima mkonde..
 
Sasa kama mm sipatii nafasi ya kukimbia asubuhi, maana na mm ndio ugonjwa wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…