Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
Mie tumbo langu naona limeshindikana
Asbh nafanya mazoezi kwa muda wa robo saa, naruka kamba na jogging, kabla sijatoka nakunywa maji ya moto yaliyochanganywa na asali. Nakunywa chai kama kawaida, mchana sili chakula ila nakunywa maji glass 6 hadi 8. Jioni nikirudi nakunywa tena maji ya moto yaliyochanganywa na asali. Uck nakula potion ndogo sana ya chakula na matunda kwa wingi lakini ndo naona tumbo linazidi. silipendi sijui hata nifanye, mazoezi ya situps yalinishinda
For how long ymefanya hivyo?