Pre GE2025 Tumbo la CCM ni mfano wa nyangumi mkubwa, amemeza wasanii wote wa Dunia akaona haitoshi sasa ameachama mdomo kumeza waimbaji wa injili na aaskofu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa Tz na nchi za kijamaa, chama kina nguvu kuliko serikali.
 
Matapeli yanayofanana hutenda mambo yao pamoja mzee wa upako tapeli,mwamposa tapeli,kuhani musa kubwa la.matapeli,Christina shusho kahaba,Martha mwaipaja kahaba
KWELI KWA 100%
 
Hao wote uliowataja maaskofu na waimbaji wote hao ni maagenti wa giza, sio ajabu...
 
Wameona bado haitoshi wameanza kuchukuwa wanyamapori toka hifadhi ya Gombe kama vivutio kwenye mikutano yao
 
Mkuu ulikua hujui? Hawa mchwa au viwavijeshi wanakula heka ya mahindi kwa dk5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…