Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Porojo
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Ikibidi tutachangia gharama za mkutano wote
 
Ilipigwa Fund raising ya gari kuanzia diaspora mpaka mtaani jamaa hakufikisha nusu ya Lengo..

Kuendesha chama cha siasa mchezo?

Hiyo 30M diaspora wamelia kweli ichangwe na mpaka sasa bado?

Unahitaj muujiza gani kuendesha dude kubwa hilo bila ubunifu?

TL ni mzur kuongea ila mambo ya fedha ni mgumu sana
 
Chama hakina vipaumbele vyake muhimu?

Kama wanapata ruzuku walishindwa vipi kuweka akiba ya kufanyia uchaguzi ?

Wajumbe wa mkutano mkuu wanahitaji nauli , wanahitaji kula , n.k

Na uchaguzi huwa unafanyika kila baada ya miaka 05.

Mbowe inatosha sasa

Kuna kila sababu ya kufikiria hili jambo pia .
 
Ilipigwa Fund raising ya gari kuanzia diaspora mpaka mtaani jamaa hakufikisha nusu ya Lengo..

Kuendesha chama cha siasa mchezo?

Hiyo 30M diaspora wamelia kweli ichangwe na mpaka sasa bado?

Unahitaj muujiza gani kuendesha dude kubwa hilo bila ubunifu?

TL ni mzur kuongea ila mambo ya fedha ni mgumu sana
Michango yake ya ubunge kwa chama hakutoa ndururu.

Hivi huyu mpayukaji akipewa nchi Hispitals,Schools,Colleges........Watapata mgao wa hela kweli ?.
 
Chama hakina vipaumbele vyake muhimu?

Kama wanapata ruzuku walishindwa vipi kuweka akiba ya kufanyia uchaguzi ?

Wajumbe wa mkutano mkuu wanahitaji nauli , wanahitaji kula , n.k

Na uchaguzi huwa unafanyika kila baada ya miaka 05.

Mbowe inatosha sasa

Kuna kila sababu ya kufikiria hili jambo pia .
Hoja hapa ni mchango wa Kamanda Lissu kama huna fedha za kumchangia piga kimya.
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
dah,
yaani kibaraka hana kitu kabisa au drama tu?
au kazifinya hata alizopewa na mabwenyenye yanayomfadhili? jamaa ana tamaa mno dah :pedroP:
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Umekuwa kama taahira we jamaa, chuki chuki chuki ni ujinga na uchafu wa moyo. Huna hoja ya kumchukia mtu zaidi ya kupoteza muda na kuandika ujinga kama huu
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Ruzuku ipo wapi
 
Umekuwa kama taahira we jamaa, chuki chuki chuki ni ujinga na uchafu wa moyo. Huna hoja ya kumchukia mtu zaidi ya kupoteza muda na kuandika ujinga kama huu
Toa mchango Kamanda wetu anakwenda kuhaibika sana.

Fikiria wajumbe wakipewa fursa ya kuuliza maswali.
Mjumbe;Mh Lissu tunafahamu wajumbe wote wa Kamati Kuu walipewa majukumu ya kuchangia mkutano huu.Tunaomba kufahamu wewe kama Mgombea nafasi ya Mwenyekiti umechangia shilingi ngapi ?.
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Akili ya makotani...


...Ni hayo tu!
 
Back
Top Bottom