Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

wewe huna tofauti na mke wa fulani naona unampigia chapuo mumeo.
 
Mwambuk
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Mwambaksa
Madeluka
Mariu
Titus
Watatoa ngapi?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Mkuu umewasahau Diaspora, na pia Marian Sarungi na Mange ki Mambi wanahitaji special mentions
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Mimi nitamchangia Mh. Wenje sh. 100,000/=
 
Mimi nitamchangia Mh. Wenje sh. 100,000/=
Wenje kashatoa sio omba omba.Mchangie kamanda anayetaka kuongoza Chama kwa bla bla.Inasemekana hata Lema kakimbia mchango wa milioni 30.
 
Kabla ya yote Clubhouse wanatoa ngapi??
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Sasa ndio mtajifunza kuwa ,Umaskini ni laana na uongozi ,inatakiwa mfukoni kuwe kimetulia
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hatuhitaji mwenyekiti ambaye hawezi kukinusuru chama kifedha kipindi cha shida
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Ukiwa na akili timamu suala la kuchangia uchaguzi linahitaji umakini!!

Mgombea anachangiaje!? Hiyo siyo harusi
 
Heshima sana wanajamvi.

CDM wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House ?
3. Wanasheria ?
4. Dr Slaa ?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Hii nyamagisisi ndio mnaikabidhi full authority ya chama!
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom