Huwezi kuwa na Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani hana uhakika hata wa 50m muda wote hicho chama.kitakufa hata wiki hakimalizi.Sasa ndio mtajifunza kuwa ,Umaskini ni laana na uongozi ,inatakiwa mfukoni kuwe kimetulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuwa na Kiongozi mkuu wa chama cha upinzani hana uhakika hata wa 50m muda wote hicho chama.kitakufa hata wiki hakimalizi.Sasa ndio mtajifunza kuwa ,Umaskini ni laana na uongozi ,inatakiwa mfukoni kuwe kimetulia
Sasa mchangieni za uchaguzi,kabla ya uchaguzi,staanza kwenda BelgiumAlitumia fedha za mchango kusafiria kwenda Belgium.
Acha uhuni chama ni taasisi Ina vyanzo vya mapatoHeshima sana wanajamvi.
CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.
Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.
Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.
Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.
Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.
Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.
1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Sauti ya watazania je 😂😂😂Heshima sana wanajamvi.
CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.
Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.
Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.
Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.
Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.
Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.
1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Kwani akiwa mwenyekiti hatakuwa na wasaidizi acheni utotoIlipigwa Fund raising ya gari kuanzia diaspora mpaka mtaani jamaa hakufikisha nusu ya Lengo..
Kuendesha chama cha siasa mchezo?
Hiyo 30M diaspora wamelia kweli ichangwe na mpaka sasa bado?
Unahitaj muujiza gani kuendesha dude kubwa hilo bila ubunifu?
TL ni mzur kuongea ila mambo ya fedha ni mgumu sana
Vyanzo vya mapato Chadema ni vipi?Na matumizi ya kuiendesha yanalingana?CAG huwa anakagua mapato na matumizi ya Chama na Chadema haijawahi kupata hati chafu.Acha uhuni chama ni taasisi Ina vyanzo vya mapato
Kuna ruzuku ya mwezi Jan.
Yaani mbowe anachukua hela za chama alafu anazirudisha kama zake??
Huu usanii wa kitoto
Heshima sana wanajamvi.
CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.
Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.
Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.
Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.
Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.
Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.
1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Kama vile Sisi walipa Kodi tunaoichangia serekali. inapowajibika kwa kujenga shule tunaambiwa mama katoa hela yake kutusaidia, tumsujudieClick to expand...
Halafu Kuna Wajinga fulani wanasema Mbowe ni Tajiri 😂😂Kama vile Sisi walipa Kodi tunaoichangia serekali. inapowajibika kwa kujenga shule tunaambiwa mama katoa hela yake kutusaidia, tumsujudie
Sasa mwenyekiti kachukua ruzuku yote, tunataka kufanya uchaguzi kairudisha alafu anataka tumsujudie
Hawajui wizi wa kitaasisi haoHalafu Kuna Wajinga fulani wanasema Mbowe ni Tajiri 😂😂
Vijana wa CDM walikuwa wanamsema Zitto kama ni "Dalali" huu uchaguzi umesaidia kutambua MADALALI wa new versionWacha matusi toa mchango.Kuendesha Chama sio lelemama.
Nenda kuzimu ewe fisadi wa MboweHeshima sana wanajamvi.
CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.
Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.
Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.
Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.
Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.
Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.
1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Lisu ni mbinafsi sana,mtu wa masilahi tuHeshima sana wanajamvi.
CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.
Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.
Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.
Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.
Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.
Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.
1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Haitoshi Muulize Lisu Hadi akakubali kuchangia mil 30Ruzuku ipo wapi