Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Tumchangie Lissu 30 Million za Mkutano Mkuu wa CHADEMA

Ukiwa na akili timamu suala la kuchangia uchaguzi linahitaji umakini!!

Mgombea anachangiaje!? Hiyo siyo harusi
Hoja mahsusi ni kimchangia Lissu.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Acha uhuni chama ni taasisi Ina vyanzo vya mapato

Kuna ruzuku ya mwezi Jan.

Yaani mbowe anachukua hela za chama alafu anazirudisha kama zake??
Huu usanii wa kitoto
 
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Sauti ya watazania je 😂😂😂
 
Ilipigwa Fund raising ya gari kuanzia diaspora mpaka mtaani jamaa hakufikisha nusu ya Lengo..

Kuendesha chama cha siasa mchezo?

Hiyo 30M diaspora wamelia kweli ichangwe na mpaka sasa bado?

Unahitaj muujiza gani kuendesha dude kubwa hilo bila ubunifu?

TL ni mzur kuongea ila mambo ya fedha ni mgumu sana
Kwani akiwa mwenyekiti hatakuwa na wasaidizi acheni utoto

Uongozi ni teamwork hela za kuendesha chama xitapatikana kukiwa na uwazi na ukweli


Kwani Nyerere mwaka 1954 -;1961 hela ya kuendesha tanu aliipata wapi
 
Acha uhuni chama ni taasisi Ina vyanzo vya mapato

Kuna ruzuku ya mwezi Jan.

Yaani mbowe anachukua hela za chama alafu anazirudisha kama zake??
Huu usanii wa kitoto
Vyanzo vya mapato Chadema ni vipi?Na matumizi ya kuiendesha yanalingana?CAG huwa anakagua mapato na matumizi ya Chama na Chadema haijawahi kupata hati chafu.
Hizo pesa za kuchangia Mkutano Mkuu ziliazimiwa na Kamati Kuu akiwepo Lissu.Unataka kutuaminisha kwamba Kamati Kuu yote haijui mapato na matumizi mpaka iazimie wachange?
Yoy can do better than that.Come on.
 
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Click to expand...
Kama vile Sisi walipa Kodi tunaoichangia serekali. inapowajibika kwa kujenga shule tunaambiwa mama katoa hela yake kutusaidia, tumsujudie

Sasa mwenyekiti kachukua ruzuku yote, tunataka kufanya uchaguzi kairudisha alafu anataka tumsujudie
 
Kama vile Sisi walipa Kodi tunaoichangia serekali. inapowajibika kwa kujenga shule tunaambiwa mama katoa hela yake kutusaidia, tumsujudie

Sasa mwenyekiti kachukua ruzuku yote, tunataka kufanya uchaguzi kairudisha alafu anataka tumsujudie
Halafu Kuna Wajinga fulani wanasema Mbowe ni Tajiri 😂😂
 
Lisu ni asset mbowe ni liability Lisu hapaswi kutoa ata senti 1 toa namba tudondoshe maokoto
 
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Nenda kuzimu ewe fisadi wa Mbowe
 
Heshima sana wanajamvi.

CHADEMA wanatakuwa na kikao cha mkutano mkuu kwaajili ya kuchagua viongozi wakuu wa kitaifa.

Nafahamu zipo nafasi nyingi zitakazo gombewa ila nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa ndio habari ya mjini.

Budget za mkutano mkuu ni kubwa sana chama kama chama wana kiasi cha Tsh 300 million.

Kuna upungufu wa Tsh 400 million.Wajumbe wote wa Kamati kuu wamepewa jukumu la kuchangia chama kila mmoja kwa uwiano wake.Kamanda Lissu kapewa jukumu la kuchangia chama Tsh 30 Million.Kamanda Mbowe kapewa jukumu la kuchangia 50 Million tayari kashatoa 250 Million.

Kwakuwa Kamanda Lissu mpaka sasa kashindwa kutoa hata Tsh 1,000 hali hii inamweka mahali pagumu sana.Hata wajumbe wanaotarajia kumpigia kura watalipwa posho na fedha za Mbowe.

Badala ya kushinda hapa JF kumsifu sifu tuanze kumchangia sasa.

1. DR Ngongo 150,000
2. Club House?
3. Wanasheria?
4. Dr Slaa?
5. Mch Msigwa?
6.
7.
8.
Ngongo kwasasa Nyama Choma Makonda.
Lisu ni mbinafsi sana,mtu wa masilahi tu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom