Uchaguzi 2020 Tume imekataza Viongozi wa Dini kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu 2020. Chaguzi zote tangu 1995 viongozi wa Dini walishirikishwa

Uchaguzi 2020 Tume imekataza Viongozi wa Dini kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu 2020. Chaguzi zote tangu 1995 viongozi wa Dini walishirikishwa

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Jamani habari ya mjini ndiyo hiyo.

Tangu uchaguzi wa 1995 viongozi wa Dini wamekuwa waangalizi wa uchaguzi mkuu.

Lakini uchaguzi wa mwaka huu Tume imeamua viongozi wa Dini wasishirikishwe.

Nilitegemea kwamba ili malalamiko yasiwepo basi waangalizi walipaswa kuwa wengi.

Waswahili tena msemo wetu, "Penye wengi hapaharibiki neno. "

Na kama sisi ni taifa linalomtegemea MUNGU kwanini tunawatenga viongozi wa DINI ktk jambo kubwa na muhimu kama uchaguzi mkuu?
 
Mkuu inashangaza sana kuona hii Serikali sasa inawakimbia hata Viongozi wa dini kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wakati huo huo wanataka Viongozi wa dini wazungumzie mafanikio ya yesu FAKE!!!!

Viongozi wa Dini kukutana Jumatatu kuelezea mafanikio ya serikali ya Mh.Magufuri


..jamani habari ya mjini ndiyo hiyo.

..tangu uchaguzi wa 1995 viongozi wa Dini wamekuwa waangalizi wa uchaguzi mkuu.

..lakini uchaguzi wa mwaka huu Tume imeamua viongozi wa Dini wasishirikishwe.

..nilitegemea kwamba ili malalamiko yasiwepo basi waangalizi walipaswa kuwa wengi.

..Waswahili tena msemo wetu, "Penye wengi hapaharibiki neno. "

..Na kama sisi ni taifa linalomtegemea MUNGU kwanini tunawatenga viongozi wa DINI ktk jambo kubwa na muhimu kama uchaguzi mkuu?
 
..siyo wasimamizi.

..ni waangalizi.

..na wamekuwa wakifanya hivyo tangu uchaguzi wa 1995.
Vyote iwe kusimamia au kukodolea macho sio kazi Yao iwe chaguzi za serikali au za club za Simba na yanga au za vyama ziwe za Chadema nk

Kwani kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema mliwaita kuja kuangalia uchaguzi ulivyoenda?
 
..jamani habari ya mjini ndiyo hiyo.

..tangu uchaguzi wa 1995 viongozi wa Dini wamekuwa waangalizi wa uchaguzi mkuu.

..lakini uchaguzi wa mwaka huu Tume imeamua viongozi wa Dini wasishirikishwe.

..nilitegemea kwamba ili malalamiko yasiwepo basi waangalizi walipaswa kuwa wengi.

..Waswahili tena msemo wetu, "Penye wengi hapaharibiki neno. "

..Na kama sisi ni taifa linalomtegemea MUNGU kwanini tunawatenga viongozi wa DINI ktk jambo kubwa na muhimu kama uchaguzi mkuu?
Viongozi wa dini wakahubiri Injili!
 
Hao viongozi wa dini toka mwaka 1995 hawajawahi kuona dosari zozote kwenye Uchaguzi.?

Mbona sijawahi kusikia sauti zao ziwe za kukosoa ama kusifia kila baada ya uchaguzi au huwa wanajali posho zao tu.

Naomba kujua faida za uwepo wao toka 95 ili niwe pamoja nanyi mnaotetea uwepo wao.
 
Vyote iwe kusimamia au kukodolea macho sio kazi Yao iwe chaguzi za serikali au za club za Simba na yanga au za vyama ziwe za Chadema nk

Kwani kwenye uchaguzi wa ndani wa chadema mliwaita kuja kuangalia uchaguzi ulivyoenda?

..hawakuitwa ktk chaguzi za vyama.

..lakini tangu 1995 wamekuwa waangalizi wa uchaguzi mkuu.
 
Usiwe mtumwa wa historia kama ilifanyika kimakosa Huwezi endekeza makosa yaendelee

Wao hawana vyama hawahitajiki kusimamia chaguzi za vyama au kuangalia vyama vikishindana

..kwasababu hawana vyama/upande bila shaka watakuwa waangalizi wa uchaguzi wanaoaminika zaidi.
 
Back
Top Bottom