Nyie NCCR si ndio mliahidiwa kuwa chama kikuu cha upinzani mkaamua kukubaliana na utapeli wa Magufuli. Lengo ilikuwa ni kugomea uchaguzi hadi tume huru, lakini mkakubali kutumika ili mshiriki uchaguzi kuua nguvu ya madai ya tume huru. Sasa mnalia baada ya kuona ahadi mliyopewa mmeachwa kwenye mataa. Ingizeni wanaNCCR mageuzi mtaani madai kuapishwa